John Mnyika kupata pigo jimbo la Kibamba

John Mnyika kupata pigo jimbo la Kibamba

duuh!! hv ccm hamuon aibu?
kwel nmeamini ukiwa ccm lazima uwe umejitoa ufahamu.. MNYIKA anashinda asubuh kabla misa ya pil haijaingia
 
inamaana maisha bora kwa kila mtanzania hayakuwahusu wana kibamba haahaa
basi ccm hawana chao
 
Nani wa kuinua mdomo na kupinga ufisadi pale chadema

Si chadema pekee...Upinzani wote mmeambiwa "Shut-Up!!" linapokuja suala la ufisadi...kwa kifupi, mmeambiwa wooote muweke chini silaa yenu pekee ambayo ingeweza kuangamiza chama tawala...na hilo ndo bao la mkono aliloliongelea ndugu Nape
 
Wakazi wa jimbo la Kibamba watangaza rasmi kumng`oa MNYIKA, kutokana na kupungua kwa imani yao dhidi ya mgombea huyo. Wanadai amekuwa kimya sana katka kukemea ufisadi ndani ya chama chake kama alivyokuwa awali. Hivyo wamekuwa na mashaka nae na wapo tayari kumchagua mbunge mwingine tofauti na yeye.

Pole sana Mnyika.
huo uongo wako wapelekee hukohuko , unafiki mtupu !
 
Mnyika siku akijitambua aondoke huko, sio sahihi kwake kutokemea ufisadi.
 
Wakazi wa jimbo la Kibamba watangaza rasmi kumng`oa MNYIKA, kutokana na kupungua kwa imani yao dhidi ya mgombea huyo. Wanadai amekuwa kimya sana katka kukemea ufisadi ndani ya chama chake kama alivyokuwa awali. Hivyo wamekuwa na mashaka nae na wapo tayari kumchagua mbunge mwingine tofauti na yeye.

Pole sana Mnyika.

Khee😕uko timamu kweli?
 
we nawe.Umekubali kumega mb zako kwa kitu unachojua kina negative impact.Pole sana.Wspe salamu.Ccm wenzako.Kibamba ni Mnyika na Lowasa.
 
Katoka nduki ubungo kaahidi maji kimya mpaka sasa maji ndoo 1000 sijui kibamba kaenda na gia gani
 
Wakazi wa jimbo la Kibamba watangaza rasmi kumng`oa MNYIKA, kutokana na kupungua kwa imani yao dhidi ya mgombea huyo. Wanadai amekuwa kimya sana katka kukemea ufisadi ndani ya chama chake kama alivyokuwa awali. Hivyo wamekuwa na mashaka nae na wapo tayari kumchagua mbunge mwingine tofauti na yeye.

Pole sana Mnyika.

tunataka facts. wametangazia kwenye mkutano gani? wapi? lini?
 
Wakazi wa jimbo la Kibamba watangaza rasmi kumng`oa MNYIKA, kutokana na kupungua kwa imani yao dhidi ya mgombea huyo. Wanadai amekuwa kimya sana katka kukemea ufisadi ndani ya chama chake kama alivyokuwa awali. Hivyo wamekuwa na mashaka nae na wapo tayari kumchagua mbunge mwingine tofauti na yeye.

Pole sana Mnyika.


Sikujua ufisadi unaoifilisi hii nchi unakaa kibamba na kinara wa kuung'oa sio TAKUKURU ni
Mnyika. Suala hapa ni kuonyesha hii Tanzania ni yetu sote na sio mali ya sisiem baaasi
 
Anakaribishwa ACT. Huko CHADEMA wamesha ambiwa wa shut up n keep quiet.
 
Huyo Fenela hajulikani na wana kibamba...
 
Back
Top Bottom