John Mnyika: "All is well in CHADEMA"

John Mnyika: "All is well in CHADEMA"

katika kupambana huna budi kukubali vyote! napia hata katika familia kila mtu anakuwa na mwanzo na mwisho wake! uenda huu ukawa ndiyo mwisho wa mnyika ndani ya CDM kama wakina Zitto na Slaa ndani ya CDM lakini ikumbukwe kuwa CDM IPO NA ITAENDELEA KUWEPO DAIMA NAPIA WATAKAO ISUKA CDM SI AKINA MBOWE WALA NANI BALI NI WANACHAMA VIA VIONGOZI WENYE NIA YA DHATI YA KUMWONDOA HUYU MKOLONI WA kijani!!
 
Katibu anao uwezo wa kuita press conference akazungumzia hili swala, naona mnataka kuifanya kama issue ya Dr. Slaa na baadaye akaja kuwaumbua
let us wait time will say
 
Mnyika ni kamanda wa Chadema asilia. sio hii chadema chumia tumbo ya sasa.ni zao la Dr Slaa
 
CCM Lumumba mbona mnahangaika Na chadema? Jengeni nchi watanzania wanataka Tanzania iwe kama Dubai kama mlivyowaihidi
 
"All is well in Chadema; what has been going on is part of what was dubbed strategy for changes which was initiated by Chadema traitors" JOHN MNYIKA, DIRECTOR OF CHADEMA

"Some analyst have warned that if the turmoil is not handled well, this might well be the beginning of the end of the party"

Source: The Citizen

Magazeti ya kiswahili yakiandika habari kama hii yanabezwa. Ngoja tuone na hapa .

Mnyika yupo sahihi kuwa hali ni shwari ndani ya Chadema? Na siyo kwamba na yeye kakichoka chama?

Walioonya kuhusu mwanzo wa mwisho wa Chadema wapo sahihi? Japo wenye kuona mbali wanaona Chadema imeshakufa, na viongozi pamoja na wanachama hawataki ushauri wa wadau?

Hivi kila anayedai ukweli na uwazi ndani ya Chadema, ni TRAITOR?
Umehadiri hoja kwenye mkokoteni. Endeleeni na mradi hewa.
 
kumbuka unapomnyooshea mwenzako kidole, vinne vinakurudia wewe! Chagadema dhoofu kwishney!
MaCCM na Mashabiki wao wanatamani CDM ife, matokeo yake inazidi kuomarika!!
Pamoja na kuzuia mikutano hata ya chama lakini chama kinajengeka watu wanaona ukweli, huwezi kuwababaisha na mbinu za ulaghai!!
 
Ni waoga sana hawa jamaa... huko wanawapiga vita kuendesha siasa, huko wanapitapita na propaganda kibao mitaani... kisha wanasema upinzani Tanzania ni dhaifu. Sasa unajiuliza: Kama upinzani dhaifu kuhangaika kote huko kwa nini?
 
Ni waoga sana hawa jamaa... huko wanawapiga vita kuendesha siasa, huko wanapitapita na propaganda kibao mitaani... kisha wanasema upinzani Tanzania ni dhaifu. Sasa unajiuliza: Kama upinzani dhaifu kuhangaika kote huko kwa nini?
mtaje anayehangaika
 
Wewe muandishi nadhani una maneno lain kama tishu kwel kwel. Yan kati ya watu wanao ona mbal et wanaxema CDM inapotea???? Nadhani hao watu wana macho uchwara!!! CDM inapeta tu na mtazidi kuumia FISIEM kwa kukosa hoja.
 
Mnyika anajidhalilisha tu luwatumiakia hao Mnyang'au...

Amekuwa mnafki sana,na hii ni aibu kwa kijana wa rika lake kutumika na hao wazee...
Mtamshawishi sana. Lakini yeye siyo mtu wa bk7. Ana akili zake na anajua anachofanya.
 
Back
Top Bottom