thereitis
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 297
- 41
Mkuu hayo ndiyo maombi ya wana ccm
Kamwe hawatashinda
Mkuu hayo ndiyo maombi ya wana ccm
Watashinda kwa sababu wana vifaru mkuuKamwe hawatashinda
Lini uliwahi kuwa kamanda wewe?Siasa uchwara headache kufuatilia siasa za upinzani, bora tubaki na chama kimoja. Najivua ukamanda rasmi ujinga huu
Ccm mnateseka sana.Mnyika Chamema hujafunga nayo ndoa.
Labda ni kamanda wa sungusunguLini uliwahi kuwa kamanda wewe?
Umezoeshwa kujambishwaendeleeni kujamba humu
haifai kujipa moyo hivi wakati kuna tatizo. hivi hivi wakati wa kuondoka kwa Dr Slaa kulikuwa na kufichaficha kwiiiingi kulikokuwa kunafanywa na makamanda viongozi.sielewi faida ya kuficha ficha mambo. wacheni yaje kama yapi na hii inasaidia kuji shape. haiwezekani unafanya utumbo utegemee asali na maziwaWewe muandishi nadhani una maneno lain kama tishu kwel kwel. Yan kati ya watu wanao ona mbal et wanaxema CDM inapotea???? Nadhani hao watu wana macho uchwara!!! CDM inapeta tu na mtazidi kuumia FISIEM kwa kukosa hoja.
amekwambia ana shida ya kufuliwa kombati.?? wewe ni kati ya wale wasiopenda mabadiliko ya kweli. mnamezeshwa mnameza tu kila kitu bila kufikiri. waacheni watu wakiwa na mawazo mbadala na mapya wayatoe ili kusonga mbeleHaya nenda ukamfulie kombati zake
hata Dr Slaa hakuwa mtu wa bk7 ana akili zake na alijua alichofanyaMtamshawishi sana. Lakini yeye siyo mtu wa bk7. Ana akili zake na anajua anachofanya.
Tumesitisha matamko yoote ya kisiasa hadi 2020amekwambia ana shida ya kufuliwa kombati.?? wewe ni kati ya wale wasiopenda mabadiliko ya kweli. mnamezeshwa mnameza tu kila kitu bila kufikiri. waacheni watu wakiwa na mawazo mbadala na mapya wayatoe ili kusonga mbele
Hivi mlikuwa hamwendi wote lumumba kweli?hata Dr Slaa hakuwa mtu wa bk7 ana akili zake na alijua alichofanya
Kwa kulazwa serena hoteli hakuwa na tofauti na mtu wa bk7. Malipo dhalimu kama yalivyo ya bk7hata Dr Slaa hakuwa mtu wa bk7 ana akili zake na alijua alichofanya
issue haikuwa amelazwa Serena. issue ilikuwa alikwenda kuzungumzia mustakabali wa nchi tuchague ,tudumbukie gizani kwa kuchagua mafisadi au watu wenye walau maadili na waaminifu wa kweli. wewe hujui malipo dhalimu yalifanywa na watuhumiwa wa ufisadi walivamia ukawa bila hodi. walewale tuliokuwa tukiwasema ni mafisadi. walivyotununua tu tukasema sio mafisadi tena. ajenda ikazikwa kibudu mpaka leoKwa kulazwa serena hoteli hakuwa na tofauti n, mtu wa bk7. Malipo dhalimu kama yalivyo ya bk7
Ha ha haaaa. You can tell this to the birds. Traitor of the highest degree.issue haikuwa amelazwa Serena. issue ilikuwa alikwenda kuzungumzia mustakabali wa nchi tuchague ,tudumbukie gizani kwa kuchagua mafisadi au watu wenye walau maadili na waaminifu wa kweli. wewe hujui malipo dhalimu yalifanywa na watuhumiwa wa ufisadi walivamia ukawa bila hodi. walewale tuliokuwa tukiwasema ni mafisadi. walivyotununua tu tukasema sio mafisadi tena. ajenda ikazikwa kibudu mpaka leo
I can't argue with people who have low cognitive ability!!!!!!!haifai kujipa moyo hivi wakati kuna tatizo. hivi hivi wakati wa kuondoka kwa Dr Slaa kulikuwa na kufichaficha kwiiiingi kulikokuwa kunafanywa na makamanda viongozi.sielewi faida ya kuficha ficha mambo. wacheni yaje kama yapi na hii inasaidia kuji shape. haiwezekani unafanya utumbo utegemee asali na maziwa
Wale waliomrubuni Lipumba na Slaa akatoroka sasa wapo busy kuandaa bajeti ya kumrubuni na tayari wamefanikiwa kwa kiasi fulaniMnyika anajidhalilisha tu luwatumiakia hao Mnyang'au...
Amekuwa mnafki sana,na hii ni aibu kwa kijana wa rika lake kutumika na hao wazee...
Dr Slaa alinunuliwa na kamati ya membe lakini Mnyika sasa kadakwa na madalali wajanja wa CCM akina January na wenzao, mnyika Kwa jinsi alivyokuwa akipenda vyombo vya habari asingeweza kukaa kimya kiasi hicho kama asingekuwa karubuniwa na January.hata Dr Slaa hakuwa mtu wa bk7 ana akili zake na alijua alichofanya