John Mnyika: "All is well in CHADEMA"

John Mnyika: "All is well in CHADEMA"

Nampenda Mnyika sana lakini kama anaenda aende kwa amani kabisa
Mkuu mnyika njaa imempa Aibu keshachukua pesa za CCM sasa anatafakari namna ya kutoroka chadema lakini kaishiwa mbinu na nafsi inamsuta sana ndiyo maana yupo kiinya licha watu kuhoji mengi juu yake.
 
he might be under close watch when inscribing those notes.
 
Siasa uchwara headache kufuatilia siasa za upinzani, bora tubaki na chama kimoja. Najivua ukamanda rasmi ujinga huu
Ukweli ni uonavyo mimi utabaki palepale ndg.yangu hakuna au hatujapata kiongozi wala chama cha Upinzani mwenye Uzalendo wa kweli na anaye jali maslahi ya watanzania kwa dhati ispokuwa wengi wao ni wasakatonge na wanasiasa uchurwa wanaojali maslahi yao na familia zao kwanza.

Ushahidi ni migogoro isiyo na mashiko,mingi yao ikiwa ya kugombania maslahi ya uongozi au pesa( Kaburu,Chacha wangwe,ZZK,sasa Mnyika VS CHADEMA),Lipumba vs CUF,NCCR-Kafulila na nk na nk)

Ndio maana kwangu mm huona upinzani wa kuchukua na kuongoza nchi kwa maslahi mapana ya Taifa,na kwa lengo la mabadiliko yakweli ambayo watz wangependa kuyaona na kuwa na kiu nayo kwa muda mrefu sasa( miaka 54 toka Uhuru) Hakuna au bado sana.
Wapinzani wanapaswa kujipanga kwanza kwa kuwa wengi kwenye mabaraza ya s/Kali za mitaa na Bungeni ili wapate uzoefu wa kuongoza lkn pia kujenga imani/kuwashawishi kama wanaweza then wapate mgombea mwenye mvuto mkubwa kwa wtz.walio wengi kuliko yule CCM na hatimae kuchukua nchi.

Ndio mtazamo na msimamo wangu.Niombe radhi kama ntakuwa short minded.
 
Kukaa kimya kwa mnyika ni dalili kuwa keshachukua chake toka kwa madalali wa siasa w! CCM, ambao wapo busy mda wote kuwasaka wanasiasa wenye njaa kisha kupiga cha juu kupitia humohomo huku mwanasiasa akifanya ajuavyo bila kujali wapiga kura wake wataathirika vipi.
hahaha kwa Mnyika mko wepesi sana kuzungumza, lakini mlikaa kimya tulivyovamiwa na kundi la watuhumiwa wa ufisadi wakalambisha baadhi basi ! ngoma ikaendelea. mlivyoambiwa SHUT UP your mouth mlivyokuwa waoga mka Shut up kweli
 
Mnyika ni kamanda wa Chadema asilia. sio hii chadema chumia tumbo ya sasa.ni zao la Dr Slaa
Wewe kweli Babeli, huyo Dr wa mihogo mwenyewe yuko wapi? Si ameikimbia nchi? Kila anaeona haridhiki na Sera za chadema milango iko wazi.
 
I can't argue with people who have low cognitive ability!!!!!!!

Sent from my TECNO 7C using JamiiForums mobile app
because you dont wanna let the truth prevail. your high cognitive ability have no and will never have impact on our current economic development. it could have positive impact to you your husband and kids onlyyy.
 
it has never been well: keep on dreaming dreamer!!
 
Wewe kweli Babeli, ! yo Dr wa mihogo mwenyewe yuko wapi? Si ameikimbia nchi? Kila anaeona haridhiki na Sera za chadema milango iko wazi.
we sema milango iko wazi tuu. utabaki pekeyako. dont try this man !
 
Dr Slaa alinunuliwa na kamati ya membe lakini Mnyika sasa kadakwa na madalali wajanja wa CCM akina January na wenzao, mnyika Kwa jinsi alivyokuwa akipenda vyombo vya habari asingeweza kukaa kimya kiasi hicho kama asingekuwa karubuniwa na January.
Mbona Mbowe alivyorubuniwa hamzungumziii au hamkusikia wananchi ma wanachama wengi wakilalamika. kama Mbowe alitumia fursa kwa faida anayoijua wache na wengine nao watumie fursa. usitishe watu bana
 
tatizo lenu wengi hamjakuwa kidemokrasia. ma shida hii ipo sana kwenye vyama vyetu vya upinzani. haiwezekani mtu anapojaribu kutumia uhuru wake wa kikatiba, wanatokea wengine wanamkandya. its nat fair at all. tunajifanya kuwa wanademokrasia kumbe ni demokrasia zipo midomoni tu na sio from deep down our hearts
 
Back
Top Bottom