Daaaa VIMBULULU? Hilo jina nimelisikia kipindi kirefu sanaIkiwa we we no muongo,unadai ukweli gani?nyinyi pia mlipaswa kuchunguza he madai hayo ni ya kweli?ndipo muanze kushabikia,lakini kinyume chake kila linalotolewa kufikiri mnapiga kelele kama vimbulu,kweli nyinyi ni mazombies,mkipewa ushahidi Wa namna nao wanaohoji wanavyokosea mnapinga tena bila kuchunguza.nyinyi ni vimbulu.
Ebu tutolee povu hapa kwani habari za cdm zinakuhusu nini?Ila ao wanachama mnaowapa kadi leo baadae wakiwakosoa mnasema si wanachama!chama cha Ziaka..mnawabeza mpaka waliokua viongozi wenu
DIV 5 utamjua tu....LUWATUMIKIA ?Mnyika anajidhalilisha tu luwatumiakia hao Mnyang'au...
Amekuwa mnafki sana,na hii ni aibu kwa kijana wa rika lake kutumika na hao wazee...
Hongera sana mkuu kwa kuwajibu hawa kina kwangu pakavu wa lumumbaWANA CCM, mtahangaika sana kuimaliza CDM kwa maneno. Wapo wanaosema sisi wana CDM tusome alama za nyakati, wapo wanaosema ati CDM imekwisha kufa n.k. Sawa tu midomo yenu nyote hailipiwi kodi ,na hakuna mtu anayeweza kuwazuia msifikirie mnayotaka kufikiria. Mnapoteza muda wenu wa kufikiria mambo ya maendeleo yenu na familia zetu, tena watu kama ninyi mmechoka kimaisha! Ikumbukwe kuwa a "person convinced against his/her own will isof the same opinion still". CDM inasonga mbele kiukweli huku kwenye field mpaka vijijini tulipo. Subirini matokeo ya Serikali za Mitaa tuwaoneshe!
Naona unamshobokea sana mnyika! Kesha jipatia ndoa yake huyo hivyo wewe huna nafasikumbuka unapomnyooshea mwenzako kidole, vinne vinakurudia wewe! Chagadema dhoofu kwishney!
Unataka akuoe wewe?Mnyika Chamema hujafunga nayo ndoa.
Dr mihogo! !!!Kwani yeye nani bwana!.Kama vipi asepe!.Alikuwepo slaa ijekuwa yeye!Oooi!
KARIBU SANA JFSiasa uchwara headache kufuatilia siasa za upinzani, bora tubaki na chama kimoja. Najivua ukamanda rasmi ujinga huu
Wewe umeishia la ngapi mkuu?atoke chadema kale wapi form six leaver yule mganga njaa
Kwa jinsi ccm wanavyo iogopa cdm wakisikia mtu anakohoa tu basi wanaomba cdm isambaratikeKufanya siasa ni uamuzi wa mhusika mwenyewe na kuacha siasa ni uamuzi wa mhusika pia .
Wewe mwenyewe mbona una zunguka kutwa mzima kuuza sox na viberiti mkononi na bado watu wana kuheshimu?sio matusi we utakata tawi ulilokalia ,njaa haina ubaunsa lowassa ana hela na slaa na lipumba walihongwa,hawa wanasiasa siasa ndio kazi yao hana hata kibanda cha kuuza nyanya
Mkuu hayo ndiyo maombi ya wana ccmChama kife kwa sababu ya mwanachama mmoja kuhama?
Wasira sasa ni mfugaji wa mbuzi tu bundahata Wasira alitabiri mwisho wa chadema lakini yeye kafikia mwisho wa kisiasa na chadema inasonga mbele
Korea kaskazini!Chadema ife kwa sababu mnyika ataondoka?!!! Kwel mnaota Chadema labda itakufa utawala wa vyama vingi ukifa yan tuwe kama Korea hivi
nimeishia darasa la tatu CWewe umeishia la ngapi mkuu?
Na kivuko cha mv dsmMadhambi ya kuuza nyumba za serikali mbn yanavumiliwa
Mkuu hiyo speech tunayoijadili hapa ni ya mwaka 2014!! Yote yalishapita na kijana alipigania chama kama kawaida!na kwenye hiyo speech Mnyika anasema All is well in Chadema!! Ila huyo mleta mada kaamua ku twist tafsiri na kumlazimisha kuwa chama kimekufa!! Traitors waliozungumzwa enzi hiyo tayari walishajipanga kwenye mstari wao na wakahesabiwa! Leo kila mtu anawatambua kwa sura na majina,kama Mnyika ana jingine basi litakuwa jipya,watu wanalazimisa ku connect the wrong dots just to fulfill their marvelous agenda,Mnyika yupo! Tumsubiri aseme yeye,you better shut your ill stinky mouth by now.Siamini hadi nimsikie mhusika