Du mkuu unasikiliza hadi matangazo ya vifo haaaaaa
Du mkuu unasikiliza hadi matangazo ya vifo haaaaaa
poleni wafiwa. Mbona alikufa tangu jana ila sasa hebu tupeni wasifu wa huyo mary. She died at age 25, but sure she maintaned very nice profile (low) ambao kwa wote wenye majina marefu ni fundisho kwa watoto na wajukuu zenu.
Mary alikua adopted daughter wa Dr.Mwele Malecela.