John Magufuli: Ninautamani urais!

John Magufuli: Ninautamani urais!

Huyu aliehusika kuuza nyumba za serikali, Huyu alieratibu na kuwezesha kupaa kwa deni la Taifa kasha kuwagawia MAFISADI wenzie ulaji? hope your kidding ...

Utabaki kusema huyu ndio aliehusika kuuza nyumba za serikali, ila watu makini wanajua hamna kashfa hapo, mbona bado TPA inajenga nyumba na kuuza? au unafikili serikali haiendelei kujenga na kuuza? Dar tu hapa recent TBA wameuza nyumba 400..haya piga kelele tukusikie. Huna hoja kaa kimya!
 
Huyu jamaa alikuwa akinivutia utendaji wake ila kuna wakati alitamka kwamba upinzani unaota ndoto kuishinda CCM eti kwa sababu Wakuu wa Mikoa, Wilaya, Makatibu wakuu wa Wizara na Wakurugenzi wa Wilaya wote ni CCM. Hapa nilimbaini kuidharau demokrasia na uhuru wa wananchi. Jamaa yupo kichama zaidi, nilimchukia kuanzia hapo maana wananchi wanahitaji huduma na si itikadi za kichama!!
 
Sidhani kama unajitambua!

Wewe ndo hujitambui kabisa. Magufuli hafai hata huo uwaziri. Ni msanii mzuri sana na ndio maana watu kama wewe mnamwona anafaa. Waulize wakandarasi anaofanya nao kazi. Waulize wafanyakazi wa wizara yake. HAFAI KABISA! Angalia track record yake, ni ubabe tu ndo anaujua!
 
Wewe ndo hujitambui kabisa. Magufuli hafai hata huo uwaziri. Ni msanii mzuri sana na ndio maana watu kama wewe mnamwona anafaa. Waulize wakandarasi anaofanya nao kazi. Waulize wafanyakazi wa wizara yake. HAFAI KABISA! Angalia track record yake, ni ubabe tu ndo anaujua!

Aulize wakandarasi? wafanyakazi? U must have an IQ of a ten year's old boy! yani hata hauna hoja, yani unategemea anavyowabana wafanye kazi wakandarasi watampenda? si ungesema tuwaulize wananchi? nshakufuatilia comment zako unamfagilia fisadi Lowassa, labda tuwailize hao wananchi wangapi wanamtaka uyo fisadi? hamna mahusiano yoyote ya maana kati ya waziri wa ujenzi na hao makandarasi zaidi ya kuona a value for money kwenye barabara zetu..hatutaki mtu wa kucheka cheka nao au kuwabembembeleza, tumechoka na uwo upuuzi, hayo mahusiano unayoyataka yataleta substandard road, plus mi namfaham mkandarasa mmoja mzalendo keshapata tender nyingi tu za kujenga madaraja vijijini, he appreciates kazi za JP Magufuli, anasema wazi bila usimamizi imara wa iyo wizara kungekua na upigaji mkubwa. Hao wafanyakazi kama una claim ana uhusiano na mbaya basi wewe ndio wa kwanza kulipoti kutoka radio mbao. Najua sana msimamo wako unamtaka Lowassa cz unatoka kaskazini, sina tatizo na rais kutoka kaskazini ila hatutaki fisadi sisi haijalishi anatoka pande zipi za taifa hili.
 
Demokrasi ni nzuri ktk nchi ambayo wananchi wake wanajitambua.ktk Tz ya sasa tukisema tuendelee kujiongopea kuwa tutafute kiongozi anayebembeleza watu,tunajidanganya.Kila wakati tunasifia Rwanda,watanzania hawawezi kuishi Rwanda.Kwa kuwa hatuko watiifu.Siasa za uwongo zimetumaliza. Tutafute MTU wa kunyoosha mstari.tuwe wakweli.Magufuri ndio mtu pekee ambaye yupo ktk muda huu.
 
Wewe ndo hujitambui kabisa. Magufuli hafai hata huo uwaziri. Ni msanii mzuri sana na ndio maana watu kama wewe mnamwona anafaa. Waulize wakandarasi anaofanya nao kazi. Waulize wafanyakazi wa wizara yake. HAFAI KABISA! Angalia track record yake, ni ubabe tu ndo anaujua!

Kwa kukusaidia tu, kama ulikua una suggest afanye research kujua performance ya magufuli au jinsi anavyokubalika, inaonyesha jinsi gani hauna hata rudimentary knowledge ya research. Yani unataka kupima performance ya a political leader like a minister sample yako unayo suggest ni wafanyakazi wa wizara na makandarasi? kama ndio ningekua supervisor hata kukusimamia ningekataa, ningekurudisha kwa coordinator ukapangiwe mtu wingine, from your sample tu naona jinsi uwezo wako ulivyo mdogo, a population specification error, that's your mistake! kama unataka kawaulize wananchi, the public, na sample yako iwe stratified random sampling hapo ndio utapata picha, wananchi wa mikoa yote ya tanzania wawe kwenye sample yako. uone kama uyo fisadi wako Lowassa anakubalika au anakubalika kwenye vyombo vya habari tu na wafanya research uchwara wasaka tonge. Wewe kama hamgobali ni vizuri ila kila pembe ya nchi hii jamaa anakubalika na wala hapiti makanisani n misikitina na bahasha.
 
Wewe ndo hujitambui kabisa. Magufuli hafai hata huo uwaziri. Ni msanii mzuri sana na ndio maana watu kama wewe mnamwona anafaa. Waulize wakandarasi anaofanya nao kazi. Waulize wafanyakazi wa wizara yake. HAFAI KABISA! Angalia track record yake, ni ubabe tu ndo anaujua!

We we utakuwa mwanamke make kwa hari ya kawaida eti kumwona mwanaume mwenzio in mbabe kiafrka unakuwa umeonesha udhaifu hufai hats kupewa mke .. sasa ulitaka awe mpole ili isaidie nini?
 
Demokrasi ni nzuri ktk nchi ambayo wananchi wake wanajitambua.ktk Tz ya sasa tukisema tuendelee kujiongopea kuwa tutafute kiongozi anayebembeleza watu,tunajidanganya.Kila wakati tunasifia Rwanda,watanzania hawawezi kuishi Rwanda.Kwa kuwa hatuko watiifu.Siasa za uwongo zimetumaliza. Tutafute MTU wa kunyoosha mstari.tuwe wakweli.Magufuri ndio mtu pekee ambaye yupo ktk muda huu.

Eti wanataka viongozi wanaobembeleza,na ajabu wanamkataa Magufuri eti in mbabe huku wakimwona Lowassa anawafaa,sasa nauliza Hugo Lowassa siyo mbabe?
 
Huyu jamaa ni zaidi ya jembe..CCM kama kweli wanataka mtu atakaepita kwa kishindo na kujiakikishia kubaki madarakani basi JP Magufuli ndio kilio cha watanzania wengi...hao wanaomtetea Lowassa ivi wanaakili kweli? Jitu limetuletea kashfa kibao kuanzia Richmond, fisadi, et shule za kata, izo nazo shule? zina ubora upi? serikali imeamua kuja na mambo ya GPA ili kufunika aibu ya wanafunzi kufeli. Bora hata ya JK amejitaidi kuongeza idadi ya walimu na maabara. Huyo Lowassa atufai, hafai kua kiongozi, hatutaki watu wabinafsi wakuliibia taifa hili, esp sasa ivi tuna gas, tutajuta tukimpitisha uyo mmasai, mi kura yangu simpi, Hafai,, mtu yoyote makini ataliona hilo.

..mbona naona wote, Lowassa, na Magufuli, wana kashfa kubwa-kubwa.

..Magufuli ameishiriki wizi wa nyumba za serikali, wakati Lowassa ameshiriki kashfa ya richmond.

..pia wote wawili inasemekana afya zao ni mgogoro, na wote huenda Ujerumani kwa matibabu.
Ngongo, Pasco
 
Last edited by a moderator:
Ukweli ulio wazi kama kweli CCM wanataka kushinda bila kupiga kampeni na kwa kimbunga hata wao wanajua,MTU pekee ni Magufuri ...huyu jamaa hats wapinzani wanaombea kisirisiri jina lake likatwe ili upande wao uwe free kushinda,Magufuri in mtu ambaye haitaji kukubembeleza ili ufanye kazi hii nchi imeharibiwa na mkwere ambae kwao hawafanyi kazi ameamua kuchekacheka tu eti kisa demokrasia,demokrasia? bila maendeleo demokrasia ya nini?
 
..mbona naona wote, Lowassa, na Magufuli, wana kashfa kubwa-kubwa.

..Magufuli ameishiriki wizi wa nyumba za serikali, wakati Lowassa ameshiriki kashfa ya richmond.

..pia wote wawili inasemekana afya zao ni mgogoro, na wote huenda Ujerumani kwa matibabu.
Ngongo, Pasco

Mgonjwa wa nini? kama atakua na ugonjwa basi ni ugonjwa wa kawaida tu usio affect performance yake. Afya ya Lowassa imekua ikijadiliwa kwa mda mrefu ingawa pia sina uhakika anaumwa nn so siwezi sema sana. Magufuli anazunguka nchi nzima anakagua miradi ya barabara kama angekua na afya mbovu angeonekana tu hata akiongea kwenye vyombo vya habari.

Kuhusu wizi sina kumbukumbu inaonyesha aliiba nyumba za serikali, ninachokua serikali iliamua kuuza nyumba zake kufuatia report za wataalam walio suggest nyumba ziuzwe, uamzi ulipitishwa na baraza la mawaziri na watumishi wa taifa hili waliuziwa nyumba na bado wanaendelea kuuziwa na TBA nyumba zinazojengwa upya. Usilazimishe kashfa cz hamna.

Ufisadi wa Lowassa unajulikana na kila mtanzania aliyefikisha umri wa kupambanua mambo. Hatuwezi kama taifa kumpa mtu madaraka ya juu mwenye hulka ya "upigaji" otherwise in 10 years hii nchi itaingia kwenye civil war, usitegemee watu wawe wanakatwa kodi kwenye mishahara yao na maisha ni duni afu wanasikia mtu anapiga hela tu na miradi yake "fake" afu nchi ibaki salama, never!!
 
Manelezu,

..Lowassa naye pamoja na ugonjwa wake anazunguka huku na kule kuchangia maendeleo.

..JK pamoja na kuzimia majukwaani anasafiri kwa ndege kama hana akili nzuri vile, bila kujali jet lag.

..mimi simuungi mkono Lowassa, lakini nadhani mnaomuandama kutokana na "ugonjwa" wake mmekosa muelekeo.

cc Pasco
 
Last edited by a moderator:
Aulize wakandarasi? wafanyakazi? U must have an IQ of a ten year's old boy! yani hata hauna hoja, yani unategemea anavyowabana wafanye kazi wakandarasi watampenda? si ungesema tuwaulize wananchi? nshakufuatilia comment zako unamfagilia fisadi Lowassa, labda tuwailize hao wananchi wangapi wanamtaka uyo fisadi? hamna mahusiano yoyote ya maana kati ya waziri wa ujenzi na hao makandarasi zaidi ya kuona a value for money kwenye barabara zetu..hatutaki mtu wa kucheka cheka nao au kuwabembembeleza, tumechoka na uwo upuuzi, hayo mahusiano unayoyataka yataleta substandard road, plus mi namfaham mkandarasa mmoja mzalendo keshapata tender nyingi tu za kujenga madaraja vijijini, he appreciates kazi za JP Magufuli, anasema wazi bila usimamizi imara wa iyo wizara kungekua na upigaji mkubwa. Hao wafanyakazi kama una claim ana uhusiano na mbaya basi wewe ndio wa kwanza kulipoti kutoka radio mbao. Najua sana msimamo wako unamtaka Lowassa cz unatoka kaskazini, sina tatizo na rais kutoka kaskazini ila hatutaki fisadi sisi haijalishi anatoka pande zipi za taifa hili.

Magufuli ni fisadi hafahi kuwa rais akiwa waziri wa nyumba na makazi wakati wa serikali ya awamu ya nne aliweza kuuza nyumba za serikali kwa bei ya kutupa leo hii tunaona viongozi wana yoangaika mpaka serikali inaingia gharama kuwapangishia nyumba aliuza nyumba zote zilizo kwenye maeneo ya Oysterbay,Masakia,Mikocheni,Upanga n.k sasa kama aliweza kufanya hivyo akiwa waziri tukimpa ursis si atauza kila kitu mpaka mbuga za wanyama mwisho wa siku tutakuwa watumwa ndani ya nchi yetu.Kingine huyu bwana Magufuli hana hekima wala busara hufanya maamuzi kwa kukurupuka na kuigharimu serikali kulipa fidia kwa waathirika mfano mara kwa mara tumeshuhudia akivunja majengo ya watu wakati wa utanuzi na ujenzi wa barabara bila kufuata sheria matokeo yake serikali huingia gharama kulipa fidia na mfano mwingine tumeona alivyokamata meli ya samaki bila kuwa makini leo tumeshindwa kesi na kuamliwa serikali iwalipe wamiliki wa meli sh.bilioni 2 .Kwa hali hiyo Magufuli hafahi kuwa raisi uraisi unahitaji maamuzi ya hekima na busara katika kuamua mambo lakini tukimpata kiongozi wa maamuzi ya kukurupuka kama Magufuli nchi inaweza ingia kwenye migogoro na wawekezaji na majirani zetu tukajikuta tunaingia kwenye vita na kurudi nyuma kimaendeleo.
 
Magufuli ni fisadi hafahi kuwa rais akiwa waziri wa nyumba na makazi wakati wa serikali ya awamu ya nne aliweza kuuza nyumba za serikali kwa bei ya kutupa leo hii tunaona viongozi wana yoangaika mpaka serikali inaingia gharama kuwapangishia nyumba aliuza nyumba zote zilizo kwenye maeneo ya Oysterbay,Masakia,Mikocheni,Upanga n.k sasa kama aliweza kufanya hivyo akiwa waziri tukimpa ursis si atauza kila kitu mpaka mbuga za wanyama mwisho wa siku tutakuwa watumwa ndani ya nchi yetu.Kingine huyu bwana Magufuli hana hekima wala busara hufanya maamuzi kwa kukurupuka na kuigharimu serikali kulipa fidia kwa waathirika mfano mara kwa mara tumeshuhudia akivunja majengo ya watu wakati wa utanuzi na ujenzi wa barabara bila kufuata sheria matokeo yake serikali huingia gharama kulipa fidia na mfano mwingine tumeona alivyokamata meli ya samaki bila kuwa makini leo tumeshindwa kesi na kuamliwa serikali iwalipe wamiliki wa meli sh.bilioni 2 .Kwa hali hiyo Magufuli hafahi kuwa raisi uraisi unahitaji maamuzi ya hekima na busara katika kuamua mambo lakini tukimpata kiongozi wa maamuzi ya kukurupuka kama Magufuli nchi inaweza ingia kwenye migogoro na wawekezaji na majirani zetu tukajikuta tunaingia kwenye vita na kurudi nyuma kimaendeleo.

Ndio maana nasema wengi kama wewe mnakulupuka tu kubeba story mitaani. kafanyie kazi kwanza iyo mistari mwekundu, kawaulize wenzio vizuri mnaobishana mitaani bila concrete data afu uje tena cz una bwabwaja tu hata haujui serikali iliuza nyumba kipindi cha mkapa sasa tutawezaje kujibu hoja yako. Mwambie aliekwambia amekudanganya..
 
BADO MNAMATUMAINI NA SERIKALI DHALIMU YA MAGAMBA!!! poleeeeni sana..
 
Waziri wa Ujenzi mh. John Pombe Magufuli ametangaza kugombea uraisi 2015.

Chanzo; Gazeti la Uhuru.
 
Back
Top Bottom