John Magufuli: Ninautamani urais!

John Magufuli: Ninautamani urais!

Afai na ubabe wake. akiwa rais haya ndo tutashuhudia
1. utawala wa mkapa utarud kwa mlango wa nyuma
2. mauaji ya wakulima na na wafugaji. wadukuma
wamezagaa kote nchini.msukuma awe raid nchi itakuwa jangwa kama mz na shy. nyumba za serkali ataziuza zilizobaki

acha ukabila....the guy is good ukolinganisha na hao wengine
 
Afai na ubabe wake. akiwa rais haya ndo tutashuhudia
1. utawala wa mkapa utarud kwa mlango wa nyuma
2. mauaji ya wakulima na na wafugaji. wadukuma
wamezagaa kote nchini.msukuma awe raid nchi itakuwa jangwna kama mz na shy. nyumba za serkali ataziuza zilizobaki
watanzannia mnafaa muongoze na mtu kama huyu,utawala bora utapatikana,ukiiba hata uwe na mapembe kiasi gani lazima uingie gerezani tena hata bila ya kukatwa hizo pembe zako.,na hapo ndo utakapoona kuwa nani mkuu wa nchi,sio sasa hata vijana wanaonekana nao nchi ya kwao vile tu apo ccm
 
Ni Mshenzi Tu Huyo Kapandisha Nauli Za Kivukoni Na Daladala Na Nyumba Za Watu Kabomoa Bila Kuwalipa Fidia,kama Mnamuona Mwema Mbona Jengo La Tanesco Ubungo Hajalibomoa Wakati Lipo Kwenye Ramani Ya Barabarani
 
Of all people I know, magufuli hafai kuwa rais wa Tanzania hata kwa siku moja.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Si mchezo! Watanzania wanakumbuka bwana kuhusu nyumba za Sirikali! Hawa jamaa walipiga dili. Tuwakomalie tu!
 
Ndani ya ccm namkubali Dr.Magufuli tu kwa sababu hana majungu ,fitina,makundi,na ufisadi na ni mchapa kazi kila kona wananchi wanamkubali, mambo ya national housing yalikuwa ni agizo la mkapa na c magufuli mwenyewe, na huyu ndo Rais ajaye wa JMT, hata Kinana na Nape wanajua hivo, na ndo maana juzi miaka 38 ya ccm JK aliwambia wana ccm kuwa washawishi ambao hawajatangaza nia! Ilisikika rais mmoja mstaafu akiteta na JK, na Jk kujibu kuwa hata yeye hilo ndo hadhma yake kuu.Chanzo cha habari kinasema kuwa wezi,mafisadi na wapenda fitina na majungu wanamuogopa sana.
 
Magufuli ni jembe,CCM wakimteua huyu watapata kazi rahisi sana kwenye uchaguzi wa 2015..

Kwa uwezo wa utendaji kazi,hakuna mwanasiasa yeyote hapa nchini anayemzidi Magufuli kwenye hilo, akiteuliwa huyu kura yangu anayo...

Namkubali kiasi lakini ni mwoga wa kufanya maamuzi magumu, hafai kuwa Rais. Kwa kufanya maamuzi magumu Mwakyembe ni bora kuliko yeye. Ingekuwa yale anayoyanena anayafanyia kazi nina hakika mhandisi wa wizara aliyesimamia kipande cha barabara kati ya Ruvu na Chalinze yeye na mkandarasi wake wasingekuwepo mpaka leo. Barabara ni ya kiwango cha chini mno, si lazima mtu awe muhandisi kulijua hilo. Sijawahi kumsikia akisemea kipande hicho cha barabara japo hapo anapita kila anapokwenda Dodoma. Mwakyembe asingenyamaza. Kuna ufisadi mwingi kwenye ujenzi wa barabara, kuna ufisadi mwingi kwenye vivuko, kuna ufisadi mwingi kwenye mizani, kafanya nini. Hafai kuwa Rais wa nchi. Urais wa nchi ni zaidi ya kupiga porojo kwenye majukwaa.
 
Kwa sasa ccm wanae mgombea mmoja tu anaeweza kupambana na mgombea kutoka UKAWA. na si mwingine ni E. Lowassa.
 
Ndani ya ccm namkubali Dr.Magufuli tu kwa sababu hana majungu ,fitina,makundi,na ufisadi na ni mchapa kazi kila kona wananchi wanamkubali, mambo ya national housing yalikuwa ni agizo la mkapa na c magufuli mwenyewe, na huyu ndo Rais ajaye wa JMT, hata Kinana na Nape wanajua hivo, na ndo maana juzi miaka 38 ya ccm JK aliwambia wana ccm kuwa washawishi ambao hawajatangaza nia! Ilisikika rais mmoja mstaafu akiteta na JK, na Jk kujibu kuwa hata yeye hilo ndo hadhma yake kuu.Chanzo cha habari kinasema kuwa wezi,mafisadi na wapenda fitina na majungu wanamuogopa sana.

refers to parkingson Principle of leadership promotion
 
Huyo jamaa hafahi kuwa rais hana hekima wala busara maamuzi yake huwa ni ya kukurupuka sana ameitia sana hasara serikali imekuwa ikilipa fidia mara kwa mara kutokana na maamuzi yake ya hovyo tumeona kwenye ile meli ya samaki tumetakiwa kulipa fidia shilingi bilioni 2 baada ya kushindwa kesi pia huyu jamaa ndiye aliyepeleka pendekezo na kushupalia kuuza nyumba mbali mbali zilizokuwa zinamilikiwa na serikali na yeye mwenyewe akiwa mnufaikaji wakati wa utawala wa serikali ya Mkapa wakati huo Magufuli alikuwa waziri wa nyumba na makazi wamejiuzia na kujichukulia majumba mengi ya serikali kwa bei chee mpaka aibu maeneo mbali mbali nchini mfano Nyumba za Oysterbay,Masaki,Msasani,Chang'ombe,Kurasini,Mikocheni yani wamejiuzia yale amjumba yaliyokuwa kwenye maeneo mazuri yote nchini katika mikoa yote .Hayo tu machache leo mnasema huyu jamaa anafaa kuwa rais hfahi hata kidogo na ikitokea tu CCM wamempitisha huyu jamaa wapinzani wana mengi ya kuzungumza kuhusu huyu jamaa hafahi hata kidogo ni Fisadi sana kwa watu wanaomjua vizuri
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Jamani ukikaa ukiaangalia kwa undani nchi yetu inahitaji mtu wa kuja na mbinu mpya za kukuza uchumi, kupambana na ufisadi mchapa kazi na asiyeweza kulea wezi au watu wazembe lakini zaidi ya yote asiye na makundi ndani ya chama chake na anayeweza kupata uungwaji mkono na vyama vingi. Magufuli nadhani anayo hii sifa. Katika mizunguko yangu hakuna sehemu asiposifiwa huyu jamaa kwa kazi kubwa anayofanya. CCM kazi kwenu kusuka au kunyoa. Karibu kwa mjadala.
 
Sawa,aje na majibu ya uuzaji wa nyumba za Serikali.
 
Yaani Magufuli aungwe mkono akiwa kwenye mfumo wa rushwa na kifisadi wa chama cha majizi! Never!
 
Maghufuli anaweza kua mzuri, ila koti la CCM alilovaa la CCM ndilo halifai!!
 
Ni maneno kuntu ya mwananchi mmoja apa mahali. Tuko naye kwnye mazungumzo kuhusu mustakabali wa tanzania 2015..anasema ili nchi ibaki salama na ccm inusurike ni magufuli pekee. Anasema hata kipofu anamkubali..anasema tunahitaji mabadiliko...
 
Huyu jamaa ni zaidi ya jembe..CCM kama kweli wanataka mtu atakaepita kwa kishindo na kujiakikishia kubaki madarakani basi JP Magufuli ndio kilio cha watanzania wengi...hao wanaomtetea Lowassa ivi wanaakili kweli? Jitu limetuletea kashfa kibao kuanzia Richmond, fisadi, et shule za kata, izo nazo shule? zina ubora upi? serikali imeamua kuja na mambo ya GPA ili kufunika aibu ya wanafunzi kufeli. Bora hata ya JK amejitaidi kuongeza idadi ya walimu na maabara. Huyo Lowassa atufai, hafai kua kiongozi, hatutaki watu wabinafsi wakuliibia taifa hili, esp sasa ivi tuna gas, tutajuta tukimpitisha uyo mmasai, mi kura yangu simpi, Hafai,, mtu yoyote makini ataliona hilo.
 
Back
Top Bottom