TANZIA John Livingston Mwakipesile, Mbunge wa zamani wa Kyela afariki dunia

JAMANI HAWA WATU WANAKUFA NA NINI??MBONA VIONGOZI HASA WALE WASTAAFU NA WENYE UMRI MKUBWA WANAONDOKA SANA!???
 
Simfahamu. Apumzike kwa amani. Na familia na wapendwa wake Mungu awape5faraja na nguvu wakati huu mgumu wanapitia.
 
Alituchelewesha sana. Chanjo tungeanza nazo mapema wazee hawa wangekuwa hai leo. Tunaendelea kupoteza watu leo kwa ajili yake.

Umenisoma ewe kajamaa?
Waulize India wachanja mapeeema lakini delta aliupiga mwingi tuuu.Lazima tutambua saa na majira ya sasa, tumrudie Mungu, tuombee bila kuchoka na yeye atatusikilizawaka jana tuliomba sasa hivi tinaona kuomba ni ushamba eti siyo sayansi.
 
Mshana Jr , hapa tunaomboleza msiba wa John Mwakipesile, sio Mramba kaka.
 
Waulize India wachanja mapeeema lakini delta aliupiga mwingi tuuu.Lazima tutambua saa na majira ya sasa, tumrudie Mungu, tuombee bila kuchoka na yeye atatusikilizawaka jana tuliomba sasa hivi tinaona kuomba ni ushamba eti siyo sayansi.

India wameumudu ugonjwa baada ya kuwekeza zaidi kwenye kuchanjwa watu wao.



Kwenye zoezi hilo walilazimika kuacha kuacha kusafirisha chanjo nje.

Danganyeni wasiojua.
 
Kina
India wameumudu ugonjwa baada ya kuwekeza zaidi kwenye kuchanjwa watu wao.

View attachment 1895401

Kwenye zoezi hilo walilazimika kuacha kuacha kusafirisha chanjo nje.

Danganyeni wasiojua.

Kinachosaidia sasa hata waliochanjwa wa poneapo ni herd immunity tu and nothing else. JPM akili kubwa aliliona hili bali hamtaki kukiri kwa vile kulikuwa na agenda ya kumpaka oil chafu iliyoshindwa kwa aibu kuu.
 

Huyu John Mwakipesile atakumbukwa kwa KUIUA CCM Mkoa wa Mbeya.!!
Nasema hivyo kwa kujiamini.
Alikuwa sehemu ya mtandao wa JK.
Na alitumwa mahsusi kumdhibiti Profesa Mark Mwandosya ambaye nyota yake wakati huo ilikuwa iko juu.

Huyu Mwakipesile alihakikisha wale wanaomuunga mkono Mwandosya wanashughulikiwa na kuondolewa CCM katika nyadhifa zote.
Ilifikia Mwakipesile alidiriki kutaka kushiriki kumtoa Mwandosya katika U NEC katika uchaguzi wa CCM mwaka 2007, kwa kumtumia Thomas Mwan'gonda mtoto wa Kachero No 1, Abson Mwang'onda..
Ilishindikana kwa vile bado Mwandosya alikuwa na nguvu ndani ya CCM.

Wana CCM Mbeya hatujalisahau hilo , na kiasi hatujalisamehe kwa uozo ule.

Mtafaruku wa Mwandosya Vs Mtandao ulukuwa mkubwa sana Mbeya.
Hata alipokuja Waziri Mkuu Lowasa kutembelea Mbeya , vijana walimshabikia Mwandosya kwa kumwita. "raisi...raisi...raisi...!", jambo lilowaudhi sana mwanamtandao!

Matokeo ya kuivuruga CCM Mbeya iliyoongzwa na Mtandao wa JK, ambapo Mwakipesile alikuwa point man, yalikuwa mabaya sana kwa CCM.
Na vijana wengi kukimbilia CHADEMA kwa kumshabikia Sugu.

CCM Mbeya bado inachechemea mpaka leo.
RIP J Mwakipesile-CCM Mtandao.
 
Rip John.
 
Kina

Kinachosaidia sasa hata waliochanjwa wa poneapo ni herd immunity tu and nothing else. JPM akili kubwa aliliona hili bali hamtaki kukiri kwa vile kulikuwa na agenda ya kumpaka oil chafu iliyoshindwa kwa aibu kuu.

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Hiiiiii bagosha!

Kwani wewe ni mtalaamu mbobezi wa masuala ya afya?

Umelisikia tamko la serikali kutoka kwa wabobezi wataalamu wa afya kumhusu Gwajima?

"Atawajibishwa kwa vifo vyote hata vinavyotokea sasa kutokana na upotoshaji wake kuhusiana na chanjo."

Haiyumkiniki tamko hilo litawafuatilia wahusika wa upotoshaji wote hata kama wako Chato.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…