- Thread starter
- #61
Ashughulikiwe kama Lissu?Wadau
Kauli za hivi karibuni za John Heche ni za kushangaa,kushtuaa, kashfa na zenye kuidhalisha Serikali ya awamu ya 5 yenye malengo ya kuwaletea Watanzania maendeleo. Ni wazi kabisa Mbunge huyu ana lengo baya kabisa la kukwamisha kwa makusudi juhudi za Rais wetu mpendwa JPM.
Naomba sana kwa kuwa amevuka mpaka basi asiachwe hivi hivi aendelee Bali ashughulikiwe mapema kadri inavyowezekana na mamlaka husika
Yeye kasema ameshaaga familia na kwamba hata mkimuua na nyie lazima mtawajibika hata kwa watoto wenu, na mkurya akijiapiza kulipiza kweli analipiza.