PreGE2025 John Heche: Jaji Mwanga ajitoe katika kusikiliza kesi yetu, CHADEMA hatuna imani naye

PreGE2025 John Heche: Jaji Mwanga ajitoe katika kusikiliza kesi yetu, CHADEMA hatuna imani naye

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)
Mheshimiwa Jaji Mwanga ameteuliwa kutoka Tume ya Uchaguzi Zanzibar(ZEC)
Hapo ni TANGANYIKA vs ZANZIBAR tena.

Hivi mahakama ni suala la muungano?

Na je, kuna majaji wa kutoka Tanganyika kule Zanzibar?
 
Back
Top Bottom