John Bosco Nchindo (23). Ni Mali ya Simba Sports Club

John Bosco Nchindo (23). Ni Mali ya Simba Sports Club

Manyanza

JF-Expert Member
Joined
Nov 4, 2010
Posts
19,147
Reaction score
43,079
IMG-20250712-WA0011.jpg

Ripoti zinaeleza kuwa klabu ya Simba, imefikia makubaliano ya awali na kiungo wa Coton Sport, John Bosco Nchindo (23).

Mazungumzo baina ya Simba na kambi ya mchezaji yamekamilika kilichobaki ni Simba kumalizana na klabu yake (Coton Sport).

Nyota huyo raia was Cameroon alishinda tuzo ya mchezaji bora wa msimu uliopita.

Kwa emoji hapo chini Wanasimba mnazungumziaje usajili huu, ni Mali au hadi muone akicheza?
 
View attachment 3403032
Ripoti zinaeleza kuwa klabu ya Simba, imefikia makubaliano ya awali na kiungo wa Coton Sport, John Bosco Nchindo (23).

Mazungumzo baina ya Simba na kambi ya mchezaji yamekamilika kilichobaki ni Simba kumalizana na klabu yake (Coton Sport).

Nyota huyo raia was Cameroon alishinda tuzo ya mchezaji bora wa msimu uliopita.

Kwa emoji hapo chini Wanasimba mnazungumziaje usajili huu, ni Mali au hadi muone akicheza?
Shubamiit. Ngoja tuone.
 
Mkuu unakabia kwa juu sana.

Punguza pressing tuko na majonzi ya kufungwa mara 5 mfululizo.
Mkuu ukifuatilia comments zangu kwa ahwa, toka msimu unaanza nikimkataa, yeye nilimkataa nilipomuona kwnamara ya kwanza, budo ndio usajili wake niliukataa nikioga kwa luwa tumemuona kwenye game mbili yasije yakawa ya yule mzimbabwe, mtu sijamkataa mpaka leo ni yule deborah, ngoma nilimtetea saana hata kipindi anawekwa benchi, bado nilikuwa naimani na ngoma..
Mtu pekee kaniangusha ni KIJILI, nilikuwa nina imani nae na mpaka sasa bado naimani nae.

Ila ahoua hamna kitu mule,
Mie nikifanya mazoezi ya kutosha, nike kwa wakati, nitombe kwa ratiba, miezi 6 tu, mie ni bora kuliko yule pimbi.
 
Mchezaji mpaka tumuone akicheza, mlimpamba yule Jini chaz AHWA halafu hamna kitu, mchezaji wa kucheza namungo huko ndio akaja simba
Kusema jean charles hakuwa na kitu simba ni kutokusema ukweli, simba inamatatizo mengi sana ila ina wachezaji outstanding kama jean charles, ame play part yake simba kufika hapo else kungekuwa na mabaya zaidi
 
Mchezaji mpaka tumuone akicheza, mlimpamba yule Jini chaz AHWA halafu hamna kitu, mchezaji wa kucheza namungo huko ndio akaja simba
Hivi Jean Charles Ahoua ana magoli mangapi kwenye ligi? Na kule CAFCC kuna Mchezaji aliyeibeba Simba ukiwaondoa Mousa Camara na Jean Charles Ahoua?
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
😁😁😁23 years ya nyoko !!! Time Will tell
 
Back
Top Bottom