Tetesi: Joh Makini kuingia WCB

dah mbna kama diamond anaanza kukosea juu ya wasanii wa kuwasaini kwnye lebel yake? tukianza na rich mavoko, si vibaya kumsaini lakn tayar ni star ambaye zilibaki step chache sana awe wakimataifa ambapo hata kwa juhud zake mwenyewe angeweza kufika.
The applied kwa joh makini pia alishakuwa wakimataifa na tayar ana hit sana, bad enough ni kwamba ana brand kubwa nyuma yake(weusi) ambao they are able to do anything kweny industry na some of them tumeshaona, sasa msanii kama huyu unamsainisha for what?
Nlichodhani mim ni kwamb WCB itakua inachukua watu ambao ni very talented bt kwa namna moja au nyngne wamekosa strong sapport ya kuwafikisha mbali kama ilivokuwa kwa harmoserengeti na raymond...!

Upo sahihi lakini tambua kitu kimoja kutoka kimataifa lazima ushikwe Mkono, Na Mkono wenyewe sasa ni diamond.....!
 
Yaani Watu king kiba anawaumiza vichwa Sana bila kumtaja hawajiskii vizuri, Timu aje #king kiba 4 life
 
Joooh makin wa bongo au jooh makin gani wa weus au yupi hebu dada vua vzr
 
Iko mushkeli kwa huyu dogo, waswahili wa kariakoo hawa huenda yeye ndio ameshamaliza hapo.
Mhh! hakuna cha wa kariakoo wala wa mbagala,yee Kiba ndivyo alivyo na kama ulivyosema ubongo wake ni mzito sana wa kuziona fursa na kuzifanyia kazi ,mbona wa kigoma mwenzake ni wa Tandale na na anafanya mambo yakuonekana na kuheshimika kwenye jamii? yeye kiba na uzuzu wake tu,Wee mwanamuziki gani hutoi nyimbo mpaka wapenzi wako wapige kelele,yaani yeye mwenyewe hajui ni wakati wa kutoa ngoma sasa utasema huyo ni mwanamuziki kweli au ni mtu tu mwenye sauti nzuri na anayejua kuimba.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom