chinchilla coat
JF-Expert Member
- May 16, 2016
- 5,107
- 10,961
watu wa arusha wana pride na ego kubwa hawawezi kufanya kitu kama hiki acha upuuzi
Hongera kwa kubadilika....Hao ndio wanaozidi kumpoteza, kinyamwezi una-earn six figure halafu useme eti miye natembelea bajaj sipendi kujionesha!!
Insanity.
Atafanya makosa makubwa Kama akianzisha label kipindi hiki!
Njaa haina baunsa brother take it from me.watu wa arusha wana pride na ego kubwa hawawezi kufanya kitu kama hiki acha upuuzi
Nimekuwaje? Mwekundu wa blue au kijani?Hongera kwa kubadilika....
Hata mbele ya pesa?watu wa arusha wana pride na ego kubwa hawawezi kufanya kitu kama hiki acha upuuzi
Andazi kweli...watu wa arusha wana pride na ego kubwa hawawezi kufanya kitu kama hiki acha upuuzi
Umekua......Nimekuwaje? Mwekundu wa blue au kijani?
dah mbna kama diamond anaanza kukosea juu ya wasanii wa kuwasaini kwnye lebel yake? tukianza na rich mavoko, si vibaya kumsaini lakn tayar ni star ambaye zilibaki step chache sana awe wakimataifa ambapo hata kwa juhud zake mwenyewe angeweza kufika.
The applied kwa joh makini pia alishakuwa wakimataifa na tayar ana hit sana, bad enough ni kwamba ana brand kubwa nyuma yake(weusi) ambao they are able to do anything kweny industry na some of them tumeshaona, sasa msanii kama huyu unamsainisha for what?
Nlichodhani mim ni kwamb WCB itakua inachukua watu ambao ni very talented bt kwa namna moja au nyngne wamekosa strong sapport ya kuwafikisha mbali kama ilivokuwa kwa harmoserengeti na raymond...!
Wa zenjimhmhmhmhmh ubuyu wa wapi huu?
Wewe hujui tofauti ya House of Talent na wafanyabiashara, jaribu kuwa na akili nyepesi.dah mbna kama diamond anaanza kukosea juu ya wasanii wa kuwasaini kwnye lebel yake? tukianza na rich mavoko, si vibaya kumsaini lakn tayar ni star ambaye zilibaki step chache sana awe wakimataifa ambapo hata kwa juhud zake mwenyewe angeweza kufika.
The applied kwa joh makini pia alishakuwa wakimataifa na tayar ana hit sana, bad enough ni kwamba ana brand kubwa nyuma yake(weusi) ambao they are able to do anything kweny industry na some of them tumeshaona, sasa msanii kama huyu unamsainisha for what?
Nlichodhani mim ni kwamb WCB itakua inachukua watu ambao ni very talented bt kwa namna moja au nyngne wamekosa strong sapport ya kuwafikisha mbali kama ilivokuwa kwa harmoserengeti na raymond...!
Labda Mond akipotea kwenye game kwa sasa bado sanaHivi Kiba naye ana record label kama Mondi?
Au hana hela za mtaji?
Mfalme acha hizodah mbna kama diamond anaanza kukosea juu ya wasanii wa kuwasaini kwnye lebel yake? tukianza na rich mavoko, si vibaya kumsaini lakn tayar ni star ambaye zilibaki step chache sana awe wakimataifa ambapo hata kwa juhud zake mwenyewe angeweza kufika.
The applied kwa joh makini pia alishakuwa wakimataifa na tayar ana hit sana, bad enough ni kwamba ana brand kubwa nyuma yake(weusi) ambao they are able to do anything kweny industry na some of them tumeshaona, sasa msanii kama huyu unamsainisha for what?
Nlichodhani mim ni kwamb WCB itakua inachukua watu ambao ni very talented bt kwa namna moja au nyngne wamekosa strong sapport ya kuwafikisha mbali kama ilivokuwa kwa harmoserengeti na raymond...!
Itakuwa inaitwa "YO Records" na ina msanii mmoja nguli anaitwa ABDU kiba
Kwani lazima afanyalo diamond na kiba afanye????Hivi Kiba naye ana record label kama Mondi?
Au hana hela za mtaji?