Viol
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 25,426
- 18,228
Jogoo alikuwa anamkimbiza jike hku akiwaza nikimkamata leo atanikoma na nikimkosa nitazuga nafanya mazoezi ya kukimbia. Jike nae alikuwa anakimbia huku akiwaza ngoja nikimbie nikisimama ataniona malaya &akinikosa nitabaki bila kutolewa hamu zangu ngoja nikimbie tartibu ili anipate.
Nani hapo umamwona mjanja?
Nani hapo umamwona mjanja?