Joel Nanauka akifurahia ndoa

Joel Nanauka akifurahia ndoa

Ukitoa jambo kwenye vitabu ukatuambia sisi wabongo wa ufundi wa maneno ya kiswahili tunakuona nabii.
kweli mkuu,...huyu jamaa kwa ku copy na ku paste ...nimemnyooshea mikono😸😸😁🙌🙌
 
Nimetumia almost dakika 15 kupitia huu uzi, licha ya jina la mada kuwa tofauti na watu wanachokijadili itoshe kusema watanzania wengi tuna chuki za kipumbavu tujitahidi kutoka kwenye hilo dimbwi.

Ukiona mtu anafanya kitu ata kwa udogo as long as havunji sheria za nchi na kuna baadhi ya watu anagusa maisha yao hakuna haja ya kumjengea chuki, wewe mwenye maarifa mengi na haujawahi hata kusaidia chochote na maarifa yako makubwa how comes unapata nguvu ya kunyooshea kidole mtu anayefanya.
Ni kweli unachosema,

Wabongo wengi tuna chuki sana, na haya tunayoyasoma hapa mtandaoni ndiyo hivyo hivyo na hata mitaani ni chuki tu.

M-bongo hataki umzidi, ukimzidi tu kwa hela, akili basi yeye ni kutema nyongo tu akisikia jina lako
 
Mpunguzie mzigo DR. HAYA LAND😊
ipo ivi fanya kuingia YouTube msearch..

Jamaa alikua na distinguished results both O-level na A_level

Na mengineo mengi kuanzia uandishi from scratch mpaka kuweza ku kick life & odds

Ingia utaonaa mengineyo
Anafanya nn cha maana ikiwa nae anaomba Kura za Wajumbe kama Baba Levo (ngumbaru mwenzetu)
 
Anafanya nn cha maana ikiwa nae anaomba Kura za Wajumbe kama Baba Levo (ngumbaru mwenzetu)
ngumbaru mjanja ni better oftion, kwa sababu wapiga kura majority ni ngumbaru, so he is the best option
 
Back
Top Bottom