de Gunner
JF-Expert Member
- Nov 2, 2021
- 917
- 1,885
Katika dunia tuishiyo leo, ni bora kuwa vizuri katika jambo fulani(kuwa expert) kuliko kuwa na ma vyeti mengi lkn uko shallow! Yaani unatakiwa kuwa mjuzi katika filed husika.
Mfumo wa elimu hauna specifications kwamba wewe una kipaji gani bali ni one fits all. Hivyo basi wazazi wanapaswa kutambua vipaji na uwezo wa watoto wao na kuwa support katika ku fulfill destiny zao.
Wazazi wengi ambao wapo humu atleast wanauelewa na kile nacho ,maanisha, unakuta mzazi kasoma kabisa na anajua kuna deficiency ya ajira lakini bado ana cling na vitu vya kipiuuzi no disrespect ila mnakosea sana. Waacheni watoto wafwate kile wanapenda na pia muwa support. Kama mwanao anapenda arts kwann umforce akasome sayansi? Kisa mtoto wa jirani kachaguliwa shule za special? Acheni kufwata mikumbo.
Mwishoni mtoto kamaliza chuo, anakuja home ajira hakuna mnaaza kumzonga na kumwona mzigo. Anzeni harakati za kumjengea mazingira akiwa bado mdogo kwa kumdirect kwenye vile vitu yupo gifted. Anapo fikia level za elimu ya juu anakua tyr yupo kwenye njia sahihi, vijana wengi wameshindwa kujiajiri simply becoz wanavyeti bandia, yaani wamesomea vitu hawana interest navyo. So anasubiri aajiriwe tu, huko ndo atapata experience.
Hivyo basi wazazi kuweni bega kwa bega na watoto wenu hasa katika kuwasaidia kufanikisha ndoto zao. Mambo ya kuachia shule na walimu wafanye hiyo kazi, they know nothing about your children and their future. Ni hayo tu, nakaribisha maoni na nyongeza!
Mfumo wa elimu hauna specifications kwamba wewe una kipaji gani bali ni one fits all. Hivyo basi wazazi wanapaswa kutambua vipaji na uwezo wa watoto wao na kuwa support katika ku fulfill destiny zao.
Wazazi wengi ambao wapo humu atleast wanauelewa na kile nacho ,maanisha, unakuta mzazi kasoma kabisa na anajua kuna deficiency ya ajira lakini bado ana cling na vitu vya kipiuuzi no disrespect ila mnakosea sana. Waacheni watoto wafwate kile wanapenda na pia muwa support. Kama mwanao anapenda arts kwann umforce akasome sayansi? Kisa mtoto wa jirani kachaguliwa shule za special? Acheni kufwata mikumbo.
Mwishoni mtoto kamaliza chuo, anakuja home ajira hakuna mnaaza kumzonga na kumwona mzigo. Anzeni harakati za kumjengea mazingira akiwa bado mdogo kwa kumdirect kwenye vile vitu yupo gifted. Anapo fikia level za elimu ya juu anakua tyr yupo kwenye njia sahihi, vijana wengi wameshindwa kujiajiri simply becoz wanavyeti bandia, yaani wamesomea vitu hawana interest navyo. So anasubiri aajiriwe tu, huko ndo atapata experience.
Hivyo basi wazazi kuweni bega kwa bega na watoto wenu hasa katika kuwasaidia kufanikisha ndoto zao. Mambo ya kuachia shule na walimu wafanye hiyo kazi, they know nothing about your children and their future. Ni hayo tu, nakaribisha maoni na nyongeza!