Joe Biden: Kuna tishio la moja kwa moja la nyuklia kutoka Urusi

Nyuklia ilipigwa Heroshima na Nagasaki, Dunia ilichakazwa vipi?

Yan kwamba atumie nuke naye apoteze raia wake?
Hiroshima na Nagasaki ni cha mtoto jamaa yangu...ile ni Atomic Bomb, Nuclear bomb ni kitu kingine kabisa..kwa kifupi ni vigumu kupata mshindi...ila ni kuvurugana na kuanza upya! Hata Urusi sidhani anataka hivyo! Putin si mjinga naye anajua fika hilo.
 
Kwani Nyuklia imeundwa ili kufanyiwa maonyesho tu? Wapigwe
Na ninachosikitika zaidi nikwamba Mimi na wewe na wananajamii kwa ujumla hatutaweza Tena pashana habari, maana hii internet itazima. Na mbaya zaidi hata kuwasiliana Tena na wazazi hatutaweza. Tena mbaya zaidi hiyo cm Yako itabakia na matumizi ya kupiga picha tu
 
Naongelea scenerio ya member aliyesema Dunia itaangamia! nadhan rudia kusema post husika.
Na mimi nakujibu kwa comment tako umesema "yeye Marekani alipiga lile bomu ili aangamize watu wake pia" ulikuwa unadiscredit point yake aliyosema kuwa akipiga Ukraine hata raia wa Russia pia wataangamia.Otherwise nakubaliana na hoja yako kuwa si rahisi Dunia yote kuangamia lakini kwa scenario ya Russia na Ukraine midhari ni majirani basi wote wataathirika tu
 
Maombi yanahitajika sana wakuu mambo sio mazuri kwa usalama wa Dunia, inaonekana dhahiri kua putin atatumia nyuklia baada ya kuzidiwa nguvu.

---
Joe Biden has warned the world could face “Armageddon” if Vladimir Putin uses a tactical nuclear weapon to try to win the war in Ukraine.

The US president made his most outspoken remarks to date about the threat of nuclear war, at a Democratic fundraiser in New York, saying it was the closest the world had come to nuclear catastrophe for sixty years.

“We have not faced the prospect of Armageddon since Kennedy and the Cuban missile crisis,” he said.

“We’ve got a guy I know fairly well,” Biden said, referring to the Russian president. “He’s not joking when he talks about potential use of tactical nuclear weapons or biological or chemical weapons because his military is, you might say, significantly underperforming.”

Putin and his officials have repeatedly threatened to use Russia’s nuclear arsenal in an effort to deter the US and its allies from supporting Ukraine and helping it resist the all-out Russian invasion launched in February. One fear is that he could use a short range “tactical” nuclear weapon to try to stop Ukraine’s counter-offensive in its tracks and force Kyiv to negotiate and cede territory.

If Russia did use a nuclear weapon, it would leave the US and its allies with the dilemma of how to respond, with most experts and former officials predicting that if Washington struck back militarily, it would most likely be with conventional weapons, to try to avert rapid escalation to an all-out nuclear war. But Biden said on Thursday night: “I don’t think there’s any such thing as the ability to easily (use) a tactical nuclear weapon and not end up with Armageddon.”

“First time since the Cuban missile crisis, we have the threat of a nuclear weapon if in fact things continue down the path they are going,” the president said. “We are trying to figure out what is Putin’s off-ramp? Where does he find a way out? Where does he find himself where he does not only lose face but significant power?”

US intelligence agencies believe that Putin has come to see defeat in Ukraine as an existential threat to his regime, which he associates with an existential threat to Russia, potentially justifying, according to his worldview, the use of nuclear weapons.

Earlier on Thursday, Ukraine’s president, Volodymyr Zelenskiy said Putin understood that the “world will never forgive” a Russian nuclear strike.

“He understands that after the use of nuclear weapons he would be unable any more to preserve, so to speak, his life, and I’m confident of that,” Zelenskiy said.

Source: Biden warns world would face ‘Armageddon’ if Putin uses a tactical nuclear weapon in Ukraine
Mmhh hapa kunaweza kuwa na uwalakini inawezekana marekani anataka ku stage nuclear attack alafu aje asema Russia ameataki kama alivyokuwa anafanya Sirya alilokuwa anatumia chemical attacks
 
Marekani mbona na yeye alitumia kule Japan? Vita ilimshinda?
Marekani ilikuwa ni kisasi pia cha Pearl Harbour, ambacho hasa kilifanya Marekani iingie vitani. Atomic ilipigwa wakati vita ya pili ya dunia ilikuwa imefikaukingoni kabisa.Hiroshima na Nagasaki ilipigwa August 1945, Vita Viliisha September 1945! Wana historia wengi wanaona Atomic bomb ilikuwa ni kisasi binafsi dhidi ya Japan.
Japan isingeweza kuendelea na Vita wakati Ujerumani na Italy ilikuwa imeisha shindwa tayari,na Japan ilikuwa imepoteza visitation vingi bahari ya Pacific.
 
Back
Top Bottom