Joe Biden aondoa vikwazo vya Viza ya bahati nasibu kwa Watanzania


Bhasi itakuwa mwalimu wangu wa Historia alinidanganya

Mimi nilikuwa najua beberu = Imperialist = Imperialism... Ambao ni mfumo tu wa kijamii, Kisiasa na kiuchumi kama vile tunavyouona ujamaa

yaani kumuita mmarekani Beberu (Imperialist) haina tofauti na Ukiamua kumuita mchina mjamaa (Communist)
 
Biden alikuwa makamu wa Raisi wa Obama anaelewa Africa na Tanzania kuliko Trump mzungu na makamu wake mzungu na secretary of State mzungu mwenzie Pompeo!!!
 
Vitabu vyote huwa na new editions naona wewe bado kwenye shelf na vitabu old editions China sio communist tena!!!! Revise your notes .Mwalimu wako wakati ule alikuwa right sasa hivi unatakiwa kujiongeza kusoma new edition of books vinginevyo elimu yako itakuwa outdated na wewe outdated

Elimu kuwa outdated sio kesi lakini mtu kuwa outdated ni case sababu new editions of books are available read them!!!!
 
Nakumbuka misukule ya lumumba ilisema hio visa haina issue, sasa ngoja ujionee watakavyokuja hapa wakikata viuno baada ya kufunguliwa.
 
Unaelewa kwamba serikali ya Marekani haijabadilika, umebadilika uongozi tu?

Unaelewa kwamba sera za msingi za Marekani hazijabadilika?
 
Huyo jamaa kaleta argument superficial sana.

Kama vile kasema ubeberu wa Marekani umeisha baada ya Trump na Pompeo kuondoka madarakani!
 
Huyo jamaa kaleta argument superficial sana.

Kama vile kasema ubeberu wa Marekani umeisha baada ya Trump na Pompeo kuondoka madarakani!

Kitu ambacho si kweli maana Ubeberu wa marekani sio kitu cha trump bali ni mfumo wa kitaifa
 

Nashukuru brother na nimeupokea Ushauri wako vizuri tu ila usisahau kuutumia pia. Ila Jaribu kutafuta mchambuzi wa kukusaidia at least uweze kuelewa na kutumia hizo concept unazozisoma katika hiyo "updated education"

REFER "Ubeberu ama imperialism kuwa mfumo wa Rais Trump na utabadilika chini ya Rais Biden".
 
Kwa hiyo kumbe kuna Mazingira inaruhsiwa kuipiga Ngwala demokrasia? Ikiwa kwetu Afrika wanasema nenda Mahakamani ila kwao wamemfungia kienyeji
Trump alikuwa analeta mtafaruku na tweets zake sasa wamuache tu alete vurugu nchini?
 
Kwa hiyo kumbe kuna Mazingira inaruhsiwa kuipiga Ngwala demokrasia? Ikiwa kwetu Afrika wanasema nenda Mahakamani ila kwao wamemfungia kienyeji
Kwahiyo tweeter ndio mahakamani?

Wewe hukusikia Trump alipeleka madai yake mahakamani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…