Trump na Pompeii ndio w alisababisha tuone marekani mabeberu
Ubeberu ni maneno na maeneo
Msimamo Wangu uko pale pale Trump na Pompeo ni mabeberu kwa maneno yao na vitendo bhai vya serikali yao na mabalozi wao lakini Biden na serikal yao mpya sio mabeberu
Narudia Trump na Pompeo na serikali yao walikuwa mabeberu
Vitabu vyote huwa na new editions naona wewe bado kwenye shelf na vitabu old editions China sio communist tena!!!! Revise your notes .Mwalimu wako wakati ule alikuwa right sasa hivi unatakiwa kujiongeza kusoma new edition of books vinginevyo elimu yako itakuwa outdated na wewe outdatedBhasi itakuwa mwalimu wangu wa Historia alinidanganya
Mimi nilikuwa najua beberu = Imperialist = Imperialism... Ambao ni mfumo tu wa kijamii, Kisiasa na kiuchumi kama vile tunavyouona ujamaa
yaani kumuita mmarekani Beberu (Imperialist) haina tofauti na Ukiamua kumuita mchina mjamaa (Communist)
Lumumba katika akili zako za kushikiwa.Trump na Pompeii ndio walisababisha tuone marekani mabeberu
Kama hakuna majina ina maana wamefungia hewa?Wezi wa Uchaguzi bado wameshikiliwa,tunasubiri majina
Unaelewa kwamba serikali ya Marekani haijabadilika, umebadilika uongozi tu?Trump na Pompeii ndio walisababisha tuone marekani mabeberu
Ubeberu ni maneno na maeneo
Msimamo Wangu uko pale pale Trump na Pompeo ni mabeberu kwa maneno yao na vitendo bhai vya serikali yao na mabalozi wao lakini Biden na serikal yao mpya sio mabeberu
Narudia Trump na Pompeo na serikali yao walikuwa mabeberu
Huyo jamaa kaleta argument superficial sana.Bhasi itakuwa mwalimu wangu wa Historia alinidanganya
Mimi nilikuwa najua beberu = Imperialist = Imperialism... Ambao ni mfumo tu wa kijamii, Kisiasa na kiuchumi kama vile tunavyouona ujamaa
yaani kumuita mmarekani Beberu (Imperialist) haina tofauti na Ukiamua kumuita mchina mjamaa (Communist)
Huyo jamaa kaleta argument superficial sana.
Kama vile kasema ubeberu wa Marekani umeisha baada ya Trump na Pompeo kuondoka madarakani!
Trump alikuwa analeta mtafaruku na tweets zake sasa wamuache tu alete vurugu nchini?Hapo haimaanishi kumfungia Donald Trump Accounts zake za Social media ni ukomavu wa Demokrasia
Vitabu vyote huwa na new editions naona wewe bado kwenye shelf na vitabu old editions China sio communist tena!!!! Revise your notes .Mwalimu wako wakati ule alikuwa right sasa hivi unatakiwa kujiongeza kusoma new edition of books vinginevyo elimu yako itakuwa outdated na wewe outdated
Elimu kuwa outdated sio kesi lakini mtu kuwa outdated ni case sababu new editions of books are available read them!!!!
Trump alikuwa analeta mtafaruku na tweets zake sasa wamuache tu alete vurugu nchini?
Kwahiyo tweeter ndio mahakamani?Kwa hiyo kumbe kuna Mazingira inaruhsiwa kuipiga Ngwala demokrasia? Ikiwa kwetu Afrika wanasema nenda Mahakamani ila kwao wamemfungia kienyeji