Eyce
JF-Expert Member
- Mar 16, 2016
- 5,809
- 18,956
Trump na Pompeii ndio w alisababisha tuone marekani mabeberu
Ubeberu ni maneno na maeneo
Msimamo Wangu uko pale pale Trump na Pompeo ni mabeberu kwa maneno yao na vitendo bhai vya serikali yao na mabalozi wao lakini Biden na serikal yao mpya sio mabeberu
Narudia Trump na Pompeo na serikali yao walikuwa mabeberu
Bhasi itakuwa mwalimu wangu wa Historia alinidanganya
Mimi nilikuwa najua beberu = Imperialist = Imperialism... Ambao ni mfumo tu wa kijamii, Kisiasa na kiuchumi kama vile tunavyouona ujamaa
yaani kumuita mmarekani Beberu (Imperialist) haina tofauti na Ukiamua kumuita mchina mjamaa (Communist)