Joe Biden aondoa vikwazo vya Viza ya bahati nasibu kwa Watanzania

Ukimsoma kwa makini aliyeanzisha thread anareflect poor IQ za Watanzania waliowengi.

Imagine taarifa ya ubalozi wa Marekani wametowa taarifa hiyo kwa kiswahili na kingereza na bado jitu bogus hajui kilichoongelewa hapo ni kipi.

Makonda hatakiwi Marekani, na wote walioshiriki kuiba uchaguzi orodha yao ipo kamwe hawatakanyaga Marekani.

Serikali yoyote ya Marekani haicheki na waharibifu wa demokrasia Afrika.
Angalia huyu kiazi , uko Marekani unahisi ni peponi ... kumbe fala sana wee Jamaa Bonge la mshamba flani ivi, Kichwa nazi
 
Umetoka msumbiji naona umekimbilia kutaja mtu mmoja cape town na mwingine kenya.

Sijaona mahali hao watanzania wengi walipotajwa kujinga na vikundi vya ugaidi.

Wakati mwingine mjifunze kuchuja taarifa zinazotolewa na nchi hasimu kuharibu image ya nchi yetu.

Vijana mnakosa uzalendo kabisa na Taifa lenu, mnashindwa kujua hapa ndio nyumbani Mungu alipotupa na hakuna Tanzania nyingine zaidi ya hii hivyo tunapaswa kuithamini na kuilinda.
Uzalendo sio kufuga magonjwa umejifungia bongo hakuna unachojua hiyo ya Cape Town ilikua mwaka gani kama sio zaidi ya miaka 18 iliyopita kutetea maovu aikufanyi wewe eti ni mzalendo ni kujidanganya huko nasema tena baadhi ya Watanzania wapo hapo cabregado msumbiji endelea kusubiri tamko la serikali ya msumbiji...
[/QUOTE]
Siwezi tegemea maneno ya mtu anayeitwa Isanga ambaye hata siufahamu uraia wake kuhusiana na situation ya Msumbiji kuliko serikali ya msumbiji wacha iwe hivyo, nasubiri statement ya serikali ya huko na ya hapa.
 
Uzalendo sio kufuga magonjwa umejifungia bongo hakuna unachojua hiyo ya Cape Town ilikua mwaka gani kama sio zaidi ya miaka 18 iliyopita kutetea maovu aikufanyi wewe eti ni mzalendo ni kujidanganya huko nasema tena baadhi ya Watanzania wapo hapo cabregado msumbiji endelea kusubiri tamko la serikali ya msumbiji...
Siwezi tegemea maneno ya mtu anayeitwa Isanga ambaye hata siufahamu uraia wake kuhusiana na situation ya Msumbiji kuliko serikali ya msumbiji wacha iwe hivyo, nasubiri statement ya serikali ya huko na ya hapa.
[/QUOTE]
Unajiita mzalendo wakati una chembe chembe za ubaguzi utakutafuna huo mambo ya uraia umeanzia wapi? Na hiyo dhambi ya ubaguzi haiishii kwako omba uifute ni karma mbaya sana...
 
Siwezi tegemea maneno ya mtu anayeitwa Isanga ambaye hata siufahamu uraia wake kuhusiana na situation ya Msumbiji kuliko serikali ya msumbiji wacha iwe hivyo, nasubiri statement ya serikali ya huko na ya hapa.
Unajiita mzalendo wakati una chembe chembe za ubaguzi utakutafuna huo mambo ya uraia umeanzia wapi? Na hiyo dhambi ya ubaguzi haiishii kwako omba uifute ni karma mbaya sana...
[/QUOTE]
Ubaguzi ndio msingi wenyewe wa Uzalendo.
 
Wakudadavuwa msome Matola kwa utulivu utaelewa. Hiyo aya ya mwisho inaeleza kila kitu.

Hivi unajua ni kwanini Pompeo alipiga pini masaa machache kabla ya Biden kuingia?
Kuiondoa Ban kunahitaji review mpya!

Hii mbinu ya kutumia udhaifu wa uelewa wa Watz tunaijua!
Kuna bandiko umeongelea ICC ili kukwepa mada, naona somo limeeleweka na huondoi watu kwenye hoja.
Hapo umenena vyema " uelewa wa watanzania ni dhaifu sana". Wamarekani weusi wanachokidiscuss kuhusu jamii yao na afrika kwa ujumla ni tofauti kabisa na mtanzania anachokifikiria. Wamarekani weusi wako mbali sana kifikra. Nikisoma comment za watanzania wengi bado wako far behind na kwa akili hizi ni rahisi sana kua manupulated
 
Unajiita mzalendo wakati una chembe chembe za ubaguzi utakutafuna huo mambo ya uraia umeanzia wapi? Na hiyo dhambi ya ubaguzi haiishii kwako omba uifute ni karma mbaya sana...
Ubaguzi ndio msingi wenyewe wa Uzalendo.
[/QUOTE]
Poa poa Mkuu uwe siku njema Statesman...
 
Hapo umenena vyema " uelewa wa watanzania ni dhaifu sana". Wamarekani weusi wanachokidiscuss kuhusu jamii yao na afrika kwa ujumla ni tofauti kabisa na mtanzania anachokifikiria. Wamarekani weusi wako mbali sana kifikra. Nikisoma comment za watanzania wengi bado wako far behind na kwa akili hizi ni rahisi sana kua manupulated
Ni aibu kuona watanzania hawaoni hata mwanga kwa kinachoendelea kwa picha kubwa. Bado mtanzania anaweka ushabiki wa kisiasa kwa nchi ambayo ni colonizer. Its neither biden nor trump ana faida kwa miafrika. Ni ujinga kushabikia upande wowote wa siasa za marekani. Wamarekani weupe na serikali yao wanaishi maisha mazuri kwa nguvu kazi ya mtu mweusi aliyeko marekani na afrika. Na agenda za maraisi wote ni kutafuta mbinu za kumnyonya muafrika kiakili sana in such a way asishtuke. Trump kwetu sisi tena ilibidi tumshukuru japokua na yeye alikua walewale. Kwa bahati nzuri au mbaya trump aliwapiga pini viongozi wa afrika wanaopenda kuaafiri kuja marekani kuomba msaada na kula bata. Ilisaidia kwa sababu viongozi wengi wa afdika wanapenda rushwa na wanajifikiria wao tu. Trump aliwaambia afrika ni lazima ijitegemee na viongozi wa afrika mjikite katika kutatua matatizo ya afrika na sio kuzurura na kula bata.
 
Januari 30, 2020 serikali ya Donald Trump ilitangaza kuwawekea Watanzania vikwazo vya kushiriki bahati nasibu hiyo pamoja na raia wa nchi nyingine kadhaa.

Kwa mujibu wa afisa mmoja mwandamizi wa utawala uliopita wa Trump, nchi hizo ziliwekewa marufuku hiyo kwa kushindwa kufikia "kiwango stahiki cha ulinzi na kupashana taarifa".
View attachment 1683785
"Nchi hizi, kwa sehemu kubwa, zinataka kutoa msaada lakini kwa sababu mbali mbali zimefeli kufikia viwango vya chini tulivyoviweka," aliyekuwa Naibu Waziri wa Usalama wa Ndani wa Marekani Chad Wolf aliwaambia wanahabari baada ya kutangazwa kwa vikwazo.

Hii leo, Ubalozi wa Marekani nchini Tanzania umetangaza kuwa marufuku hiyo imefutwa rasmi na rais mpya wa nchi hiyo Joe Biden aliyeingia madarakani juzi Jumatano.

"Mojawapo kati ya hatua zake za mwanzo kabisa akiwa Rais, Rais Biden ameondoa kikwazo kilichowekwa kwa Watanzania kuomba Viza ya Bahati Nasibu (Diversity VISA - DV)," ubalozi huo umeandika kupitia ukurasa wake wa Twitter.

Bahati nasibu hiyo ilipitishwa kisheria nchini Marekani mwaka 1990 na bahati nasibu ya kwanza ikafanyika mwaka 1995. Toka wakati huo, takribani watu 50,000 kila mwaka kutoka nchi mbalimbali duniani hushinda bahati nasibu hiyo na kupata viza ya kuingia Marekani na kufanya kazi kama wakazi wa kudumu.

Washindi wa viza hiyo pia huweza kuhamia nchini humo na wenza wao pamoja na watoto walio chini ya umri wa miaka 21.


Mujibu wa taarifa za Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani, katika kipindi cha miaka 10 kutoka 2008 mpaka 2018, jumla ya Watanzania 643 walishinda bahati nasibu hiyo.

Katika kipindi hicho, mwaka ambao Watanzania walishinda wengi zaidi ilikuwa 2009 watu 137 na mwaka ambao walishinda wachache ilikuwa mwaka 2014 watu 28. Zaidi ya Watanzania 10,000 hutuma maombi ya kushiriki bahati nasibu hiyo.

Kwa mwaka 2017 pekee, Watanzania 13,733 walituma maombi, kati yao 6,919 waliingia kwenye kinyang'anyiro na mwishowe walioshinda bahati nasibu walikuwa 46.
CHADEMA wanaumia!!
 
Chadema Pompeo na Trump pumbavu zao

Kila silaha itakayofanyika juu ya Tanzania haitafanikiwa

Bado balozi wa marekani aliyepo kufungashwa virago nitafanya sherehe

Biden hoyeeeee
 
Chadema Pompeo na Trump pumbavu zao

Kila silaha itakayofanyika juu ya Tanzania haitafanikiwa

Bado balozi wa marekani aliyepo kufungashwa virago nitafanya sherehe

Biden hoyeeeee
Mmewakubali mabeberu chini ya Biden sasa?
 
Mmewakubali mabeberu chini ya Biden sasa?
Biden hana shida na nchi zingine anataka marekani isiendekeze siasa ifanye business.Trump kaua business za USA nje kwa kuendekeza siasa za kujiunga ndio maana kaishia kuwa one term President

Kuuzia China isinunue vifaa na software za watsap android na kadhalika toka marekani ni kuua sekta binafsi

Hakuna mtu ameua sekta binafsi na kushusha faida za American corporate business abroad kama Trump na chini wake Pompeo kwa vikwazo visivyo na kichwa wala miguu

American corporate business abroad ndio wamechangia kumpiga chini Trump ndio maana hata twitter walimkatia sababu ni wajinga wa sera zake za kibwege zilizoshusha faida abroad kwa vikwazo vyake koko
 
Biden hana shida na nchi zingine anataka marekani isiendekeze siasa ifanye business.Trump kaua business za USA nje kwa kuendekeza siasa za kujiunga ndio maana kaishia kuwa one term President

Kuuzia China isinunue vifaa na software za watsap android na kadhalika toka marekani ni kuua sekta binafsi

Hakuna mtu ameua sekta binafsi na kushusha faida za American corporate business abroad kama Trump na chini wake Pompeo kwa vikwazo visivyo na kichwa wala miguu

American corporate business abroad ndio wamechangia kumpiga chini Trump ndio maana hata twitter walimkatia sababu ni wajinga wa sera zake za kibwege zilizoshusha faida abroad kwa vikwazo vyake koko
Hujajibu swali nililokuuliza na ulilojibu sijakuuliza.

Mmewakubali mabeberu chini ya Biden?

Au unasema serikali ya Marekani chini ya Biden haina mabeberu?

Unaelewa kwamba Marekani imebadilisha uongozi wa juu tu, watendaji na misingi ya nchi haijabadilika?
 
Hujajibu swali nililokuuliza na ulilojibu sijakuuliza.

Mmewakubali mabeberu chini ya Biden?

Au unasema serikali ya Marekani chini ya Biden haina mabeberu?

Unaelewa kwamba Marekani imebadilisha uongozi wa juu tu, watendaji na misingi ya nchi haijabadilika?
Trump na Pompeii ndio walisababisha tuone marekani mabeberu

Ubeberu ni maneno na maeneo

Msimamo Wangu uko pale pale Trump na Pompeo ni mabeberu kwa maneno yao na vitendo bhai vya serikali yao na mabalozi wao lakini Biden na serikal yao mpya sio mabeberu

Narudia Trump na Pompeo na serikali yao walikuwa mabeberu
 
Back
Top Bottom