Job Ndugai...

Job Ndugai...

Muhtasari
Mheshimiwa Job Yustino Ndugai ni mwanasiasa wa Tanzania na aliwahi kuwa Spika wa Bunge la Tanzania tangu Novemba 2015 hadi alipojiuzulu Januari 6. Hapo awali alikuwa Naibu Spika kuanzia 2010 hadi 2015 kabla ya kuwa Spika chini ya serikali ya Magufuli. View attachment 3281708
Mzee ulikuwa unamaanisha nini Kwa hii habari Yako by then na hivyo bibao vyenye mkasi sijui sindano?
 
Huyu aliishi kumfurahisha Magufuli tu nothing else alivyoondoka na yeye umachachari ukaisha.
 
Muhtasari
Mheshimiwa Job Yustino Ndugai ni mwanasiasa wa Tanzania na aliwahi kuwa Spika wa Bunge la Tanzania tangu Novemba 2015 hadi alipojiuzulu Januari 6. Hapo awali alikuwa Naibu Spika kuanzia 2010 hadi 2015 kabla ya kuwa Spika chini ya serikali ya Magufuli. View attachment 3281708
Hadi Muda uliujua...!
 
Kila anayejua kitu ajiandae

Warioba na Butiku nao wakae kwa kutulia.

Nchi inawenyewe hii.
 
Back
Top Bottom