Job Ndugai: Wabunge mkiikataa bajeti mmejivua Ubunge wenyewe kwa mujibu wa Katiba


Spika wa Bunge, Job Ndugai amewaambia Wabunge kuwa kwa mujibu wa Ibara ya 90(2)(b) ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Rais wa Tanzania ana uwezo wa kuvunja Bunge endapo litakuwa limekataa kupitisha bajeti ya serikali iliyopendekezwa.

Ameyasema hayo leo, Juni 22 ambayo ni siku ya kuhitimisha bunge la Bajeti. Ambapo kwa mujibu wa Kanuni za Bunge, Kanuni 229 wabunge wanapiga kura za wazi kwenye kupitisha bajeti hiyo.

Kwa mwaka wa fedha 2021/22 Serikali imependekeza bajeti ya Tsh. Trilioni 36.26
WAJUMBE MPAKA WATISHWE NDIO WAPITISHE BAJETI YA CHAMA
 
Wabunge wanapaswa kuishauri serikali na sio kuruhusu Kila jambo kupita,

Maslahi ni ya watanzania, jambo la msingi zaidi.
Profile picture hiyo huwa naichanganya na yule taga @stroke . Nakuomba uibadili kwa heshima yako tu, maana michango yako humu jukwaani huwa ni objective zaidi. Tofauti na yule taga muimba mapambio, ingawa siku hizi amwadimika sana jukwaani, vinginevyo useme kama wewe ndiye, uliamua kubadili gia angani

Sent from my TECNO F3 using JamiiForums mobile app
 
Bunge la ndugu-yai sio bunge bali Ni circus.
Kuanzia covid 19 wote Hadi baadhi ya wabunge wa majimbo sio chaguo la wananchi. Mfano gwajiboy kacuaguliwa na Nani? Au da Joy.
Siku hizi wako wale wanaotafuta sifa kuanza kujipendekeza kwa wananchi waonekane "vichwa"
 
1624440710629.png
 

Spika wa Bunge, Job Ndugai amewaambia Wabunge kuwa kwa mujibu wa Ibara ya 90(2)(b) ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Rais wa Tanzania ana uwezo wa kuvunja Bunge endapo litakuwa limekataa kupitisha bajeti ya serikali iliyopendekezwa.

Ameyasema hayo leo, Juni 22 ambayo ni siku ya kuhitimisha bunge la Bajeti. Ambapo kwa mujibu wa Kanuni za Bunge, Kanuni 229 wabunge wanapiga kura za wazi kwenye kupitisha bajeti hiyo.

Kwa mwaka wa fedha 2021/22 Serikali imependekeza bajeti ya Tsh. Trilioni 36.26
Sijaona mbunge wa kuikataa bajeti... Ingekuwa kipindi kile asingethubutu kuongea haya
 
Hivi huyu Ndugu yai anaongelea katiba ya Somalia au hii hii anayoendelea kuivunja kwa mapenzi aliyonayo kwa mzee Halima?
kipenggele gani kavunja kama kweli wewe unajuwa katiba hebu kitaje maana wengine mnakujaga kuharisha tu hapa jukwaani hata hiyo katiba huijui
 

Spika wa Bunge, Job Ndugai amewaambia Wabunge kuwa kwa mujibu wa Ibara ya 90(2)(b) ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Rais wa Tanzania ana uwezo wa kuvunja Bunge endapo litakuwa limekataa kupitisha bajeti ya serikali iliyopendekezwa.

Ameyasema hayo leo, Juni 22 ambayo ni siku ya kuhitimisha bunge la Bajeti. Ambapo kwa mujibu wa Kanuni za Bunge, Kanuni 229 wabunge wanapiga kura za wazi kwenye kupitisha bajeti hiyo.

Kwa mwaka wa fedha 2021/22 Serikali imependekeza bajeti ya Tsh. Trilioni 36.26
Tega nikutege....,Hawa jamaa zetu walivyo na njaa,nani atathubutu apinge!?
Huku kitaa njaa inauma,hata ningekuwa Mimi,bungeni ni fulsa nono sana.
Siwezi kuleta ujuaji kwenye kula.
Mtu akiwa mtaani ni choka mbaya,ama anapuyanga kutafuta ajira,au anavumilia ka mshahara kadogo Ili mradi siku ziende,kama Mwalimu Nusrat(Covid 19),akiingia bungeni ghafla anakuwa na ujuzi na ushauri jinsi ya kujiajiri?!!wakati yeye mwenyewe hajawahi kuwa hata na genge!??!5
 
Anataka kujidai bonge ni lamoto sana,Kwamba kuna pingamizi nyingi... haahahahhaa dah! vichekesho visivyochekesha
 
Kweli Ndugua hamnazo kabsa, kwenye wabunge hovyo mmoja wapo ni ndugai, kwahyo yale mapendekezo yaliochangiwa na wabunge wengne yanakazi gani? Kama ni hvo kwanin hayo mapendekezo yasngepelekwa moja kwa moja kwa rais kutiwa sain na kuanza utekelezaj wake?

Ni upumbavu na ujinga, na vile wabunge wetu wananjaa wameipitisha means wameikubali japo iltakiwa ilekebishwe kutokana na mawazo yao
 
😂 😆 huyu katema dawa zake siyo bure.
Eti yeye je, bado atakuendelea kuwa mbunge?? Katiba mpya katika mpya!

Everyday is Saturday................................😎
 
Back
Top Bottom