Mwifwa
JF-Expert Member
- Apr 3, 2017
- 48,718
- 126,564
Katika kipindi cha STAR TV leo, Naibu spika, Job Ndugai ameshindwa kujibu swali la mtangazaji lililomtaka aeleze iwapo ana mke na ana watoto wangapi.
Ndugai amesema ni vigumu kwa mwanaume kujua ana watoto wangapi kwa kuwa kuna pitapita nyingi hivyo unaweza kutaja idadi isiyo kweli!
Wakuu msijali, lazima mama za hao watoto wata take care. La mhimu ni kuzaa na mwanamke ambaye mkate wake wa kila siku siyo issue. Hayo mengine yote mara hatumii kinga, ooo mara hana maadili hayana maana yoyote kwa baadhi yetu. Bahati mbaya wengi wenu mmekuwa brain washed na wamagharibi. Mnajifanya kufikiria kizungu huku mkiishi kiafrika. Hakuna kosa kubwa lolote aliloongea Mh. Ndugai hadi muanze kumtolea mimacho kwa kitu ambacho achilia mbali kwamba wengi wenu mnakifanya lakini pia wengi wenu ni product ya kilichobainishwa na Ndugai.Hilo li baba ina maana limetelekeza watoto. wengine maskini hawana hata daftari wala karo za shule maana hata baba hawajui kama wapo na wako wapi? Hafai kuwa kiongozi. Mtu asiweza kutunza familia yake hawezi kuongoza watu.
Mngekuwa mna akili hata kidogo mngeelewa anachokwepa si suala la watoto au mke bali kuleta kwenye mjadala maisha yake binafsi. Kwa kukusaidia tu na yeye amefanya kama aloyafanya Slaa, yaan kamuacha mke wake anaishi na mwanamke mwingine. Anachoogopa ni kurudia kosa la Slaa pale jangwani.
Mngekuwa mna akili hata kidogo mngeelewa anachokwepa si suala la watoto au mke bali kuleta kwenye mjadala maisha yake binafsi. Kwa kukusaidia tu na yeye amefanya kama aloyafanya Slaa, yaan kamuacha mke wake anaishi na mwanamke mwingine. Anachoogopa ni kurudia kosa la Slaa pale jangwani.
Sasa mkuu kwa hiyo kauli unaona amekimbia mjadala, au ameanzisha mjadala??
tangu 2012 mpaka leo duhKatika kipindi cha STAR TV leo, Naibu spika, Job Ndugai ameshindwa kujibu swali la mtangazaji lililomtaka aeleze iwapo ana mke na ana watoto wangapi.
Ndugai amesema ni vigumu kwa mwanaume kujua ana watoto wangapi kwa kuwa kuna pitapita nyingi hivyo unaweza kutaja idadi isiyo kweli!
watu kwa kufukua makabuli




Wewe ni Sawa Sawa na mnyama huna utashi yaani conscience. Many animals in Africa than human beingsWakuu msijali, lazima mama za hao watoto wata take care. La mhimu ni kuzaa na mwanamke ambaye mkate wake wa kila siku siyo issue. Hayo mengine yote mara hatumii kinga, ooo mara hana maadili hayana maana yoyote kwa baadhi yetu. Bahati mbaya wengi wenu mmekuwa brain washed na wamagharibi. Mnajifanya kufikiria kizungu huku mkiishi kiafrika. Hakuna kosa kubwa lolote aliloongea Mh. Ndugai hadi muanze kumtolea mimacho kwa kitu ambacho achilia mbali kwamba wengi wenu mnakifanya lakini pia wengi wenu ni product ya kilichobainishwa na Ndugai.
Sasa hapa kati yake na wabunge nani wakupimwa?
Dah...Lakini Deni bado liko palepaleNi aibu kubwa sana !




Katika kipindi cha STAR TV leo, Naibu spika, Job Ndugai ameshindwa kujibu swali la mtangazaji lililomtaka aeleze iwapo ana mke na ana watoto wangapi.
Ndugai amesema ni vigumu kwa mwanaume kujua ana watoto wangapi kwa kuwa kuna pitapita nyingi hivyo unaweza kutaja idadi isiyo kweli!