mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 39,286
- 44,842
Sasa hivi watasuguana wenyewe kwa wenyewe
Prof. Adolf mkenda, wa jimbo la Rombo ,mkoa wa Kilimanjaro, amechukua fomu kwa ajili ya kugombea nafasi ya spika.SPIKA wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania anayemaliza muda wake, Job Ndugai amechukua fomu kwa ajili ya kutetea nafasi hiyo kwa kipindi cha pili...
Ni mpole sana kwa hiyo nafasiProf. Adolf mkenda, wa jimbo la Rombo ,mkoa wa Kilimanjaro, amechukua fomu kwa ajili ya kugombea nafasi ya spika.
Hivi unaweza kua speaker wa Bunge bila kua mbunge?Hicho cheo kinamfaa Mtanzania ambaye sio mbunge.
Wacha tu apitishwe ProfNi mpole sana kwa hiyo nafasi
Kwanini asiwe STEVEN MASELE?Wacha tu apitishwe Prof
Kwa Mungu wa Watanzania. Au ulitaka aombewe na mungu wa amsterdam?Anasema watanzania wamuombee kwa nani
Amechukua? Hivi si alidondoka kura ya maoni Msalala? au sijaelewa?Kwanini asiwe STEVEN MASELE?
Sifa ya kuwa SPIKA siyo lazima uwe MbungeAmechukua? Hivi si alidondoka kura ya maoni Msalala? au sijaelewa?
Sifa ya kuwa SPIKA siyo lazima uwe Mbunge
Kama walimkata kwenye Ubunge, hawawezi kumuachia uSpeaker.Kwanini asiwe STEVEN MASELE?
Hapana.Uspika lazima atokane na Bunge yaani lazima awe Mbunge
Yupi huyo?Rc mstaafu ana wachora tu
OK sifa ni zipi ili nimuombe mtu akaombe kabla ya SAA kumi leoHapana.
Naibu Spika ndoa lazima awe Mbunge; 2015 alipewa ubunge wa kuteuliwa ili agombee unaibu spika, Mwaka huo huo Mabere Marandu aligombea nafasi ya Spika na hakuwa Mbunge