Uwanja wa ndege wa Dar si mbaya kama inavyofikiriwa ila kuna mambo ambayo yanaushusha hathi kama ifuatavyo"
Chemba za maofisa wa uhamiaji check in/check out ni chache.
Sehemu ya Abiria kupokelea mizigo ni ndogo.
Parking ya magari
Hivi unaweza ukadiriki kusema uwanja wetu ni mzuri kweli??? Unalinganisha na uwanja gani? Hivi umetembea duniani na kuona viwanja bora vya ndege au unaropoka tu..?? Huo uwanja ni kama kituo cha daladala...
Huwa najisikia vibaya ninaposhuka na ndege, then jirani yako anakuuliza.. Huu ndiyo Uwanja wa ndege wa Dar es Salaam..?? Huwa natoa jibu kwa huzun sana!!
Tuvumilie, Terminal III inajengwa kwa kasi sana. Ipo siku nitasimama pale nichukue picha mbili tatu hivi