SAUTI YAKO
JF-Expert Member
- Jan 25, 2014
- 2,947
- 2,033
Sifa za kijinga
My question is, who perfomed this survey!
Well, we are not immune from some of the problems as enumerated above, but really comparing us to Nigerian Airports is way too embarrassing.
I have been to Nigeria sevaral times and its not a surprise to rub shoulders with cockroaches from the toilets down to the aicraft seat!
When you talk of domestic flights in Nigeria, it has little or no difference to commuter buses or Matatu in Kiambuu.
Well, if our neighbors are part of this, what could we expect!!
Wahusika wameliona hilo ndio maana wanajenga terminal 3 itakayokuwa na ubora zaidi. Hofu yangu ni kwenye rushwa tu, sijui kama wahusika wanaweza kukabiliana nayo.
Hiyo Terminal 2 siyo ya zamani sana kiasi hicho. Kwa hiyo hata Terminal 3 haitachelewa kuwa slum kama 2.Wahusika wameliona hilo ndio maana wanajenga terminal 3 itakayokuwa na ubora zaidi. Hofu yangu ni kwenye rushwa tu, sijui kama wahusika wanaweza kukabiliana nayo.
Haipo hata kwenye listi ya airports bora Africa lakini huyo mkenya kailenga JNIA kwa madhumuni anayoyajua yeye. Hawa jamaa shida tupu!
Best airports in Africa 2014
My question is, who perfomed this survey!
Well, we are not immune from some of the problems as enumerated above, but really comparing us to Nigerian Airports is way too embarrassing.
I have been to Nigeria sevaral times and its not a surprise to rub shoulders with cockroaches from the toilets down to the aicraft seat!
When you talk of domestic flights in Nigeria, it has little or no difference to commuter buses or Matatu in Kiambuu.
Well, if our neighbors are part of this, what could we expect!!
JKIA haipo. Kunywa sumu. Umenisikia wee kijana?List uliyoweka inaonyesha tano bora Afrika, hivyo sio lazima JKIA iwemo, lakini duh! JNIA imo ndani ya tano mbovu. kadoda11