Tangazo hilo limetolewa leo na mkuu wa wilaya ya Ileje ,,,, wilaya hiyo ikiwa imepewa nafasi 9 tu
makubwa na majanga yake hayo 9 hao ni watoto wa Dc na familia yake.
Mimi huwa siwaelewi watu wa humu ndani. Mda fulani unakuta wanaiponda jkt sana tu leo wametoa nafasi 9 mnasema ni chache hivi kweli watz tunajielewa?