JKT Watangaza wanaotaka kujiunga na jeshi

Dj chisu

Member
Dec 6, 2013
10
0
Tangazo hilo limetolewa leo na mkuu wa wilaya ya Ileje ,,,, wilaya hiyo ikiwa imepewa nafasi 9 tu
 
makubwa na majanga yake hayo 9 hao ni watoto wa Dc na familia yake.
 
makubwa na majanga yake hayo 9 hao ni watoto wa Dc na familia yake.

Mimi huwa siwaelewi watu wa humu ndani. Mda fulani unakuta wanaiponda jkt sana tu leo wametoa nafasi 9 mnasema ni chache hivi kweli watz tunajielewa?
 
Mimi huwa siwaelewi watu wa humu ndani. Mda fulani unakuta wanaiponda jkt sana tu leo wametoa nafasi 9 mnasema ni chache hivi kweli watz tunajielewa?

maisha yashakuwa magumu acha tujichanganye humo humo
 
Kuhusu vigezo nitafuatilia leo then nita post hapa hapa kwani alivisoma kwa haraka2 na tangazo halijabandikwa bado.......
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom