Fidel80
JF-Expert Member
- May 3, 2008
- 21,945
- 4,499
Dogo anaulizwa.
1.kwanini umeamua kujiunga na Jkt?
2.Uzalendo ni nini?
3.Eleza maana ya kujitegemea?
Hakuna hata swali moja alojibu kwa ufasaha sasa mtu kama huyo asaidiwe vipi.
Kweli mkuu?
Dogo anaulizwa.
1.kwanini umeamua kujiunga na Jkt?
2.Uzalendo ni nini?
3.Eleza maana ya kujitegemea?
Hakuna hata swali moja alojibu kwa ufasaha sasa mtu kama huyo asaidiwe vipi.
pole mkuu,tatizo sio fani wala matokeo ya form four ,vipo vigezo vingi sana ambavyo wengi hatuzingatii,inawezekana ukawepo ubatili,but kama ana sifa aende mkoani cku ambayo wenzake wanaenda,hakikisha afya njema,magonjwa hadi muonekano usilete mashaka,amezaliwa kati ya mwaka 1991 hadi 1995,awe na vyeti original vyote,living,academic,birth na cheti za ujuzi kama anacho atafikiriwa,
kwa 4 ya 28 ana nafas kubwa sana,mgawanyo huo sio lazima ufuatwe ni rough assumption but kama watapata wengi bora zaid wanapunguza ya wasio na fani na elimu ndogo idadi kwan hawawezi kukazania kuchukua namba ya la saba baada ya koz warud nyumban bali watachukua wale ambao wapo kwenye mstari wa ajira wa serikali,four ya 28 ataajiriwa tu nina imani,just go>>
Natanguliza heshima kwa wakubwa wng. Hivi karibuni ziliyangazwa nafasi za kujiunga na Jeshi la Kujenga taifa Sasa kama kawaida nikawajulisha wadogo zangu wafanye application cha ajabu ni kwamba zile interview ni magumashi kwani vijana wenye sifa wanaachwa na wenye mikono mirefu wanapita. Inauma sana kwani dogo alikuwa na sifa za ziada tofauti na elimu ya kidato cha nne mfano ana level 1 hadi 3 ya umeme na driving lkn ndo ivo kakosa. Dah nimeumia xna.
kama unajua anasifa ungemfanyia wewe mwenyewe au fungua mashitaka na siyo kuja kulalamika huwezi kuleta ujuaji kwenye kazi za watu kwani sifa za ziada ndio nini umeambiwa na nani kuwa kule wanatengea umeme
swala la kuajili mtu mwenye ujuzi wa ziada ni suala la mwajili na inategemea mahitaji yake