JK Safarini tena UK

JK Safarini tena UK

Pengine tusilalamike sana!!!Huenda vipaumbele vya maendeleo ya Taifa letu ni Rais wetu kupaa sana!
Kuna bwana mmoja yeye alitoa comment kwamba kuna haja ya kumfunga kamba JK ili asiruke sana nje!
 
Oyaa acheni wivu mbona slaa Tupi ujerumani hamukumzuia Jk kaalikwa na muungwana Hamadan wito mbona mnaleta mada za kitoto
 
JK vunja ziara yako rudi TZ/Arusha ili uwe karibu na watu wako. Wakati ule ulivunja safari yako Kuwait na ukatoa sababu kama hizi. Tunakuangalia safari hii kama kweli you meant it au kama ilikuwa nikuwafurahisha maaskofu.
 
Back
Top Bottom