Jk ana heshima yake acheni majungu.
Maraisi waliomtangulia ukichanganya urefu wa mabarabara walizojenga hawamfiki!!!shule za sekondari umichanganya hawamfikii!!!hospitali Zaanati Vituo vya Afya ukichanganya awamfikii!!!(zamani vingi vya wakoloni walirithi),idadi ya wahitimu vyuo vikuu na vyuo ukichabganya hawamfikii!!! Na ni miaka 7 tu,au munataka agawe pesa kama gadafi??? Ubinadamu kazi hata Gadafi walimuuwa.
wivu wa kike, jk kaalikwa.
Umesahau Vingine mkuu DENI LA TAIFA KAWAZIDI, Ukichanganya Safari walizosafiri marais waliotangulia hawamfikii AMEWAZIDI, MIGOMO AMEWAZIDI,MAISHA BORA KWA KILA MTANZANIA AMEWAZIDI,KUHUDHURIA MISIBA NA HARAMBEE AMEWAZIDI,KUNG'OA KUCHA NA MENO AMEWAZIDI,nimekuelewa.
Kaka mkubwa,kukopa na kukubaliwa manake Unakopesheka. MF. daraja la Malagalasi mkopo wake miaka 40 hamna riba ni Wachina(sio kila nchi inakopeshwa)Safari ni jambo la kawaida inaonyesha wanakukubali vp?swala la safari zamani lilikuwa kama anasa,hata kwenda DAR wengine walipita Kenya, nasisi wa kusini siku 7 mpaka mwezi.Migomo na maandamano ni uhuru wa kujieleza na kutoa maoni,enzi ya mwalimu watu walifungwa wakina Mapalala,kutamka tu wanataka vyama vingi,Babaenu Mtei alifukuzwa,Misiba na Harambee silizungumzii,lawama zingine bana!!!mvua isipo nyesha mtalaumu Serikari,maisha bora kaka jitume !!! mtoto wakiume,hata Ulaya wanalia kila siku ugumu wa maisha,kenya wenye Uchumi mkubwa,watu wao wengi masikini,hawana hata kipande cha kulima ni vibarua ktk mashamba makubwa,na wanaongoza kwa ukosefu wa ajira,ni maneno ya benki ya dunia,njoo Masasi Aridhi nyingi tu,watu walikuwa wanafwa mbuzi vjijini na baskeli sasa pikipiki,mambo ya kucha me sijui (nimevurugwa) lkn Niliangalia video Lwakatare nika shangaa sana wanasema si yakweli hata mie sijui,Me CCM siwaelewi kwenye Gass tu.
Sema amejialika! si inajulikana kwamba ameanzisha kitengo cha kujialika! Anaalikwa kwani naye ana viwanda nchini kwake? Si hata uzalishaji wa mali ghafi kumemshinda, huku KILIMO KWANZA kikiishia Magogoni.
Nani amuonee wivu mzururaji? Hizo safari inajulikana kwamba ndio UJASIRIA MALI WAKE WA MAGOGONI.
Kaka mkubwa,kukopa na kukubaliwa manake Unakopesheka. MF. daraja la Malagalasi mkopo wake miaka 40 hamna riba ni Wachina(sio kila nchi inakopeshwa)Safari ni jambo la kawaida inaonyesha wanakukubali vp?swala la safari zamani lilikuwa kama anasa,hata kwenda DAR wengine walipita Kenya, nasisi wa kusini siku 7 mpaka mwezi.Migomo na maandamano ni uhuru wa kujieleza na kutoa maoni,enzi ya mwalimu watu walifungwa wakina Mapalala,kutamka tu wanataka vyama vingi,Babaenu Mtei alifukuzwa,Misiba na Harambee silizungumzii,lawama zingine bana!!!mvua isipo nyesha mtalaumu Serikari,maisha bora kaka jitume !!! mtoto wakiume,hata Ulaya wanalia kila siku ugumu wa maisha,kenya wenye Uchumi mkubwa,watu wao wengi masikini,hawana hata kipande cha kulima ni vibarua ktk mashamba makubwa,na wanaongoza kwa ukosefu wa ajira,ni maneno ya benki ya dunia,njoo Masasi Aridhi nyingi tu,watu walikuwa wanafwa mbuzi vjijini na baskeli sasa pikipiki,mambo ya kucha me sijui (nimevurugwa) lkn Niliangalia video Lwakatare nika shangaa sana wanasema si yakweli hata mie sijui,Me CCM siwaelewi kwenye Gass tu.
Huwa akirudi anakuambia amepewa shilling ngapi na zinafanya nini?