Huyo binti na huyo dogo mwenye asili ya kiarabu ni wamarekani na wanafunzi wa university, wana miaka 20 tu. Ndio waliogundua huo mpira unaitwa "soccket ball" ambao unatumia "kinetic energy" (kuurusha rusha, kudunda dunda, au kuupiga piga) kuzalisha umeme kwa matumizi madogo madogo kama kuwasha taa na kuchaji sim.Huyo mwananke ni nani tafadhali. Kavaa flat simple tu, wangekua akina Wolper na Wema Sepetu vitu feki vingekua vya kumwaga.