Yule makongoro mahanga anadhani mh. halima atamchunia rais kumpa mkono check alivyo ovateki macho. Rais anasema hapa mtarudi tu na nakuletea barabara usijifanye wewe ndo umeleta ni mimi wala sio ccm.
Halima hata habend kidogo kwa kinafiki tuuu! Ndo maana makinda alisema hawawaheshimu wakubwa!
"Uliponikimbia kule mjengoni ulidhani hatukutani?" " Ah! si unajuwa tena naogopa yanayomkuta Zitto"
Halima hata habend kidogo kwa kinafiki tuuu! Ndo maana makinda alisema hawawaheshimu wakubwa!
Halima hata habend kidogo kwa kinafiki tuuu! Ndo maana makinda alisema hawawaheshimu wakubwa!
Sasa Dk. Makongoro Mahanga anamshangalia nini Halima Mdee? Au anafikiriwa kama angegombea huko sijui Segerea ingekuwa kazi?
ha ha ha ha ha ha :heh::lol:bint nataman ungekua mkwe yangu kwa riz1