\samahani , sija soma hizo reply za watu hapo juu ,ila naomba kuuliza, huyu halima mdee ni ana boyfriend? Ningependa kujiweka hapo, anaonekana kama hana mahusiano ya kimapenzi haswa ukizingatia hizo pimpoz zake usoni, kama tunavyo jua ukiw ana sex life huwa hazitoki usoni au ni lesboan , maana ile sauti na ule ukakamavu najiuliza mara mbili mbili.
Halima hata habend kidogo kwa kinafiki tuuu! Ndo maana makinda alisema hawawaheshimu wakubwa!
Kwani kubend ndio heshima, au heshima ya woga?Halima hata habend kidogo kwa kinafiki tuuu! Ndo maana makinda alisema hawawaheshimu wakubwa!
Mama wewe ni balaa.......!! naomba japo mkono tu. Halafu nyie mbona mnapendwa sana na wapiga kura?"Uliponikimbia kule mjengoni ulidhani hatukutani?" " Ah! si unajuwa tena naogopa yanayomkuta Zitto"