Kampeni zimenogeshwa sana na hoja ya JK ya kupangua hoja za wachukia CCM.
Kwa sasa CCM yetu ni hoja za wenye chuki binafsi tu ndiyo zinatutesa. Tukiweza kuzipindua hizo basi tunashinda vizuri sana sana.
Ukizingatia tulishatoa baiskeli, boda boda na hata wagombea uRais wa vyama vinavyotupinga tumewapa magari.
Ni nini cha kutubabaisha sisi zaidi ya labda vihoja vya kijinga kijinga vya akina Pole Pole Gwajima! CCM Chama KUBWA bwana!
Kwa sasa CCM yetu ni hoja za wenye chuki binafsi tu ndiyo zinatutesa. Tukiweza kuzipindua hizo basi tunashinda vizuri sana sana.
Ukizingatia tulishatoa baiskeli, boda boda na hata wagombea uRais wa vyama vinavyotupinga tumewapa magari.
Ni nini cha kutubabaisha sisi zaidi ya labda vihoja vya kijinga kijinga vya akina Pole Pole Gwajima! CCM Chama KUBWA bwana!