
- Joined
- Nov 3, 2010
- Messages
- 8,333
- Likes
- 5,095
- Points
- 280

Patrickn
JF-Expert Member
Joined
Nov 3, 2010



Rais JK anatarajiwa kuongea kwenye mazishi ya Mandela yatakayofanyika kijiji cha Qunu Afrika Kusini. Ataongea akiziwakilisha nchi zilizo kuwa mstari wa mbele katika ukombozi wa kupigania Uhuru na hasa ubaguzi wa rangi wa Afrika kusini.
Source; The Citizen
Source; The Citizen