The MORNING
Member
- Oct 19, 2013
- 9
- 0
Bwana mdogo hii ni heshima kwa CCM na Tanzania, Serikali ya CCM kwa muda mrefu imekuwa mstari wa mbele kupigania haki,ukombozi na haki za binadamu duniani kote na mwaliko huo ni ushahidi, huku kwenye CCM ukija mija kwa moja utakuwa kwenye urafiki na vyama vinavyounda serikali kwa mfano...CUBA,CHINA AFRICA KUSINI nk..ndio maana hata conservative ya UK ambayo ni rafiki wa CDM walikuwa wanamwogopa Mwalimu Nyerere mara kadhaa Margareth Thatcher alifyata kwa hoja za Tanzania Chini ya CCM
IQ ya mtu huwa inapimwa kwa vitu vidogo sana kama hivi! Kwa hyo comment yako hapo, imedhihirisha uwezo wako wa kufikiri na kuchanganua mambo ni mdogo! No connectivity ..........