xxykjsbvbffffffffffffffffkkkkkkkkkkuuuuuuuuuuuudbfvfd sbdg
Yaani mambo bado kuwa magumu zaidi ya hapo subirini kidogo mtaona wengine wakikitoa wenyewe tu. Hela nyingi zilitumbuliwa kwenye uchaguzi kutoka kwenye vyanzo mbalimbali serikalini na sasa wahisani nao wametia ngumu ile mbaya bado tu kutangazwa.
JK akiri hali ni mbaya serikalini Send to a friend
Saturday, 04 February 2012 09:06 0digg
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akizungumza na Spika wa Bunge, Anne Makinda wakati wa maadhimishO ya Siku ya Sheria yaliyofanyika kwenye viwanja vya Mahakama Kuu jijini Dar es Salaam jana.Kushoto ni Jaji Mkuu Mohamed Chande Othman.Picha na Zacharia OsangaJames Magai
RAIS Jakaya Kikwete amekiri kuwa katika kipindi hiki Serikali iko katika hali mbaya kifedha kiasi kwamba inashindwa kutekeleza shughuli katika idara mbalimbali kwa wakati. Rais Kikwete alitoa kauli hiyo jana wakati akitoa salaamu za maadhimisho ya Siku ya Sheria zilizofanyika nje ya Viwanja vya Mahakama Kuu Dar es Salaam. Kauli hiyo ya Kikwete ilitokana na kilio cha Jaji Mkuu, Mohamed Chande Othman kuwa Mahakama nchini imekuwa ikishindwa kutekeleza majukumu yake kwa mafanikio kutokana na ama kucheleweshewa pesa au kupewa chini ya mahitaji.
Jaji Othman alisema fedha zilizoidhinishwa na Bunge mwaka 2011/2012 kwa ajili ya Mfuko wa Mahakama ni Sh 20bilioni, lakini katika kipindi cha mwezi Julai hadi Desemba 31 walitegemea kuwa na Sh 10bilioni, lakini wamepewa Sh6,327,796,972 tu. Akijibu kilio hicho, Rais Kikwete alikiri kuwepo kwa uhaba wa fedha serikalini, lakini akabainisha kuwa hali hiyo imetokana na hatua ya kulipia malimbikizo ya madeni ya nyuma.
Sehemu kubwa ya mapato ya Serikali katika hii nusu ya kwanza, imetumika kwa ajili ya kulipia malimbikizo ya madeni ya nyuma, alisema Rais Kikwete bila kufafanua madeni hayo yaliyolipwa na kuongeza kuwa hata wizara nyingine nazo hazikuweza kupewa pesa kama zilivyostahili kwa mara moja. Alisema karibu madeni hayo yatamalizika kulipwa na kwamba mpaka sasa zimebakia kama Sh 40bilioni tu.
Pia Kikwete aliihakikishia Mahakama kuwa ataipatia kiasi chote cha fedha iliyoidhinishwa na Bunge huku akikiri kuwa hata kiasi hicho pia bado ni kidogo. Itabidi hata tupunguze sehemu nyingine, kuna maeneo mengine wana bajeti ya matrilioni ambazo sidhani kama katika kipindi hiki cha miezi sita zitaweza kuwa zimetumika zote kwa mara moja, alisema Rais Kikwete.
Jaji Mkuu Othman akifafanua zaidi ucheleweshaji wa pesa za matumizi ya Mahakama alisema kuwa inakuwa ni vigumu kuweza kupata mafanikio ya wazi na kwamba hali hiyo inachangia kukwamisha uendeshaji wa Mahakama.
Tunashindwa kuwalipa wafanyakazi haki zao wanazostahili kwa sababu ya ukosefu wa stahili za uhamisho, pia inakuwa vigumu kuwahamisha mahakimu na wafanyakazi wengine," alisema.
Hivi sasa kuna mahakimu wa Mahakama za Mwanzo 75 na wafanyakazi wa kada nyingine 500 ambao wamekaa kwenye vituo vya kazi kwa zaidi ya miaka kumi. Hili linapunguza motisha, ufanisi na tija, alisema Jaji Othman.
unatumia nini kufikiri wewe, kama akina Obama nao wanalalamika kuwa hali za nchi zao kiuchumi ni mbaya sembuse kanchi ketu kachanga
unatumia nini kufikiri wewe, kama akina Obama nao wanalalamika kuwa hali za nchi zao kiuchumi ni mbaya sembuse kanchi ketu kachanga
huyo unayemwita rais wako amechaguliwa na nani??....dhambi ya kuiba ushindi wa mtu mwingine ina mtafuna na ndio maana nchi imemshinda.......na ninyi mnaomfuta miguu hamna lolote zaid ya njaa ndio maana mnamfuta miguu....kama pesa hakuna hata hiyo mipango itatekelezwa?!!!
pesa nyingi wanazitumia kutafuta watu waliowatangaza wao kuwa wamekufa.......ni lazima nchi iishiwe pesa..watanzania amkeni..muondoeni huyo ni mzigo kwa taifa lenu
JK akiri hali ni mbaya serikalini Send to a friend
Saturday, 04 February 2012 09:06 0digg
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akizungumza na Spika wa Bunge, Anne Makinda wakati wa maadhimishO ya Siku ya Sheria yaliyofanyika kwenye viwanja vya Mahakama Kuu jijini Dar es Salaam jana.Kushoto ni Jaji Mkuu Mohamed Chande Othman.Picha na Zacharia OsangaJames Magai
RAIS Jakaya Kikwete amekiri kuwa katika kipindi hiki Serikali iko katika hali mbaya kifedha kiasi kwamba inashindwa kutekeleza shughuli katika idara mbalimbali kwa wakati. Rais Kikwete alitoa kauli hiyo jana wakati akitoa salaamu za maadhimisho ya Siku ya Sheria zilizofanyika nje ya Viwanja vya Mahakama Kuu Dar es Salaam. Kauli hiyo ya Kikwete ilitokana na kilio cha Jaji Mkuu, Mohamed Chande Othman kuwa Mahakama nchini imekuwa ikishindwa kutekeleza majukumu yake kwa mafanikio kutokana na ama kucheleweshewa pesa au kupewa chini ya mahitaji.
Jaji Othman alisema fedha zilizoidhinishwa na Bunge mwaka 2011/2012 kwa ajili ya Mfuko wa Mahakama ni Sh 20bilioni, lakini katika kipindi cha mwezi Julai hadi Desemba 31 walitegemea kuwa na Sh 10bilioni, lakini wamepewa Sh6,327,796,972 tu. Akijibu kilio hicho, Rais Kikwete alikiri kuwepo kwa uhaba wa fedha serikalini, lakini akabainisha kuwa hali hiyo imetokana na hatua ya kulipia malimbikizo ya madeni ya nyuma.
Sehemu kubwa ya mapato ya Serikali katika hii nusu ya kwanza, imetumika kwa ajili ya kulipia malimbikizo ya madeni ya nyuma, alisema Rais Kikwete bila kufafanua madeni hayo yaliyolipwa na kuongeza kuwa hata wizara nyingine nazo hazikuweza kupewa pesa kama zilivyostahili kwa mara moja. Alisema karibu madeni hayo yatamalizika kulipwa na kwamba mpaka sasa zimebakia kama Sh 40bilioni tu.
Pia Kikwete aliihakikishia Mahakama kuwa ataipatia kiasi chote cha fedha iliyoidhinishwa na Bunge huku akikiri kuwa hata kiasi hicho pia bado ni kidogo. Itabidi hata tupunguze sehemu nyingine, kuna maeneo mengine wana bajeti ya matrilioni ambazo sidhani kama katika kipindi hiki cha miezi sita zitaweza kuwa zimetumika zote kwa mara moja, alisema Rais Kikwete.
Jaji Mkuu Othman akifafanua zaidi ucheleweshaji wa pesa za matumizi ya Mahakama alisema kuwa inakuwa ni vigumu kuweza kupata mafanikio ya wazi na kwamba hali hiyo inachangia kukwamisha uendeshaji wa Mahakama.
Tunashindwa kuwalipa wafanyakazi haki zao wanazostahili kwa sababu ya ukosefu wa stahili za uhamisho, pia inakuwa vigumu kuwahamisha mahakimu na wafanyakazi wengine," alisema.
Hivi sasa kuna mahakimu wa Mahakama za Mwanzo 75 na wafanyakazi wa kada nyingine 500 ambao wamekaa kwenye vituo vya kazi kwa zaidi ya miaka kumi. Hili linapunguza motisha, ufanisi na tija, alisema Jaji Othman.
wewe mwenyewe hapo matonya namba moja.utatueza nini mpya.acha wenye akili timamu na wenye mapenzi na nchi yetu wawahudumie walalamikaji kama wewe.
Kwani Obama ni nani mpaka akilalamika iwe ajabu? Swala ni sababu za kukosekana hizo fedha; Kikwete anadai ni kutokana na kulipia madeni ya nyuma, huu ni uongo mtupu na usio na aibu. Fedha zimekwisha kutokana na matumizi mabaya na wizi wake yeye na serikali yake na chama chao, hakuna ukweli wowote kuhusu madeni hapo.
Umri wa miaka 50, uchanga unakujaje?unatumia nini kufikiri wewe, kama akina Obama nao wanalalamika kuwa hali za nchi zao kiuchumi ni mbaya sembuse kanchi ketu kachanga