Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,476
- 39,995
Inakuwaje serikali inakuwa na deficit kubwa kiasi cua kutoweza kulioa mishahara au kufubd its various programs? Nini kimetokea tangu bajeti ya mwaka hadi sasa? Haya malimbikizo ya madeni yanalipwa kutoka fedha zisizotengwa kwenye bajeti?