mbona hii inashabihiana sana na ile taarifa ya Hutaki Unaacha na mtoa habari!!!
au labda mbwembwe tu anataka kuongeza mke wa 8
https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...licho-nyuma-ya-pazia-hiki-hapa.html?highlight=Wakuu naombq mnisaidie kuweka links za thread za hutaki unaacha
Kuhusu Rais Jakaya Kikwete, alisema mwaka huu atafanya uamuzi mzito utakaoungwa mkono kwa asilimia 100 na kwamba uamuzi huo utaishangaza dunia.
Gazeti la mtanzania leo,
Ni uamuzi gani huo wana jf?
Dont forget this CHADEMA kuweni makini sana, kilicho nyuma ya pazia hiki hapa!=jk atafanya uamuzi mgumu wa kumpa Deo kisandu kofia ya urais.
Wapendwa wanaJF,
2. JK ajiuzulu urais mnamo mwaka 2013 hivi ili chini ya Bilal na kwa muda mfupi mabadiliko makubwa yafanyike na CHADEMA waweze kujumuishwa katika serikali hasa Dr Slaa ili kujipanga kukimaliza CHADEMA kwa urais zaidi. Ingawa JK alihofia hii technique kwa maana ya Bilal but hii naona ina mkono wa wafanyabiashara wakubwa wa mataifa Fulani ambao wanataka biashara zao ziende vizuri kama JK ataondoka madarakani kwani akiendelea hataweza kumweka mtu wao ili aendelee kulinda 'maslahi Fulani'
Thank you.
JK kufanya uamuzi mzito ni kama duara la mraba, haliwezekaniki katika ulimwengu huu.
Uamuzi wowote atakaofanya hata kama unatakiwa uwe mzito utarahisishwa naye.