JK kufanya uamuzi mzito 2013

JK kufanya uamuzi mzito 2013

Hahahahahahahahahahahahaha
labda jk wa zimbabwe!
 
Anampango wa kumpeleka mamvi jela ili membe apite kilaini ila atajiona navi subiri tuone
 
kikwete hajawai kufanya uamuzi mzito,na hata akifanya watu watajua ni sehemu ya udhaifu wake.!
 
Kuhusu Rais Jakaya
Kikwete, alisema mwaka huu atafanya uamuzi mzito utakaoungwa mkono kwa
asilimia 100 na kwamba uamuzi huo utaishangaza dunia.

Gazeti la mtanzania leo,

Ni uamuzi gani huo wana jf?

Huyu jk ni bure kabisa na hamna kitu, asubiri muda wake umalizike akaendelee kucheza ngoma
 
Atampendekeza EL kuwa mgombea ajaye wa CCM!na kweli itaushangaza dunia!

Pia anaweza kutangaza Tanzania kuwa nchi ya kwanza duniani wanafunzi kumaliza elimu ya msingi wakiwa hawajui kusoma wala kuandika na wamefaulu kuingia kidato cha kwanza..... Hii pia itashangaza dunia
 
Bila mafisadi kufungwa au kunyongwa hadharani, atakuwa hana jipya... ni usanii tu na mazingaombwe!!!
 
That will be like putting a square peg in a round hole!
 
Hakawii kusema watanyongwa, then wakishakuwa tried na kuambiwa hawana doa kutakuwa hakuna wa kunyongwa. Umesahau alimsafisha lowassa kwenye uchaguzi, kuwa ni mtu safi wanamsingizia tu?
Bila mafisadi kufungwa au kunyongwa hadharani, atakuwa hana jipya... ni usanii tu na mazingaombwe!!!
 
Kuhusu Rais Jakaya Kikwete, alisema mwaka huu atafanya uamuzi mzito utakaoungwa mkono kwa asilimia 100 na kwamba uamuzi huo utaishangaza dunia.

Gazeti la mtanzania leo,

Ni uamuzi gani huo wana jf?
Maamuzi magumu pekee ya kuushangaza ulimwengu ni yeye kuachia madaraka na cyombo husika kumteua mtu kushika madaraka hadi hapo 2015 wakati tukisubiria mrejesho wa mchakato wa wa maandalizi ya katiba mpya.
 
Atampendekeza EL kuwa mgombea ajaye wa CCM!na kweli itaushangaza dunia!

Atafanya safari 6 za kwenda Japan KUOGELEA kama zile za Brazil na Ghana za kwenda kuona kilimo cha Matunguja (Nyanya) na Nanasi
 
Atamfilisi Riziwani utajiri wote na kuwagawia maskini
 
Utabiri wa shekhe fulani huu... Niliusoma mahali.. Mrithi wa Yahya
 
Back
Top Bottom