Mida hii ndo ameingia hapa Amahoro Stadium na mama Mama salma.
Sherehe zetu za miaka 50 hakuna rais yoyote toka EAC aliyehudhuria, na hadi leo hakuna kiongozi ameeleza ilikuwaje? JK anafuata nini Rwanda?
mademuJK anafuata nini Rwanda?
Sherehe zetu za miaka 50 hakuna rais yoyote toka EAC aliyehudhuria, na hadi leo hakuna kiongozi ameeleza ilikuwaje? JK anafuata nini Rwanda?
Niliona kweli JK anapenda safari kwenye mazishi ya Abertina Sisulu. Lesotho na Zimbabwe walituma waziri mkuu. JK ndo alokuwa rais mgeni peke yake. Unnecessary trips kama hizo zikipinguzwa tutashindwa kuboresha mahospitali?Sherehe zetu za miaka 50 hakuna rais yoyote toka EAC aliyehudhuria, na hadi leo hakuna kiongozi ameeleza ilikuwaje? JK anafuata nini Rwanda?