JK kawasili hapa Rwanda, kwenye Sherehe za miaka 50 ya Rwanda

Rais wa Tanzania Ndugu Jakaya Mrisho Kikwete yupo nchini Rwanda leo kuhudhuria sherehe za miaka hamsini ya uhuru wa nchi hiyo!

Kwamjibu wa mtandao wa twita wa serikali ya nchi hiyo wa RwandaGov unaoripoti live shuguli nzima ya sherehe hizo, umemuonyesha rais wa Tanzania akiwa na viongozi wengine katika meza kuu ndani ya uwanja wa Amahoro!

Mgomo upo, na utaendelea kuwapo, rais yupo na rais yupo na ataendelea kuwepo!

Mungu ibariki Tanzania, Mungu wabariki Madaktari, Mungu mponye Daktari Ulimboka!

Huyu jamaa atakuwa ana hali ambayo sio ya kawaida kwenye ubongo wake.Ila uswahili ukizidi sana ni matatizo ,tena ni janga.
 
Ilisemwa sana humu ndani kuwa viongozi wa EA walikacha sherehe zetu. Anaenda kufanya nini, quid pro quo. Angemtuma Membe
 
Ni kweli sherehe zetu za miaka 50 hakuna rais yoyote toka EAC aliyehudhuria,

Sielewi yeye anafuata nini huko?

Nchi ipo kwenye hali ya hatari yeye kiguu na njia nje!
 
w10on14OtExLgAAAABJRU5ErkJggg==

kama utani vile kumbe kweli yuko anakula bata....wabongo mtajiju....
 
Yaani huku watu wanakufa mahospitalini, jini lililtaka kumuua dr halijapatikana,, yupo rwanda anakula bata! Pathetic!
 
Tetesi ni kwamba pia ameenda kuomba msaada wa kupewa madaktari 50 wa haraka.
Kenya na Uganda wao wamemkatalia.
Jamani watanzania tumwonee huruma rais wetu maana anapigania maisha yetu.
 
Tetesi ni kwamba pia ameenda kuomba msaada wa kupewa madaktari 50 wa haraka.
Kenya na Uganda wao wamemkatalia.
Jamani watanzania tumwonee huruma rais wetu maana anapigania maisha yetu.

Acha kudaganya umma wewe, kikwete hana ucchungu na watanzania hivi unawezaje kwenda kwenye sherehe wakati kwako kuna msiba.....
 
Sherehe zetu za miaka 50 hakuna rais yoyote toka EAC aliyehudhuria, na hadi leo hakuna kiongozi ameeleza ilikuwaje? JK anafuata nini Rwanda?
Hujui kwamba huyu ni "bwana sherehe na misiba"? Huwa hayuko tayari kutuma mwakilishi hata siku moja.
 
duh!!sisi tunasubiri hotuba kwenye tv kumbe anapanga nguo kwenye begi aende rwanda?si wamfukuze huku ma dr wamegoma.

Mbona kuna madokta wengi tunaendelea kuahirisha vifo vya watu huku mikoani. Comments zenu ziwe specific.
 
Acha kudaganya umma wewe, kikwete hana ucchungu na watanzania hivi unawezaje kwenda kwenye sherehe wakati kwako kuna msiba.....
Subiri matokeo au corfimation toka ikulu ndio utajua kama trip ya Rwanda ilikuwa ya kawaida au kutafuta msaada wa kupata matabibu wa haraka.
Wasaidizi wake wanasema jamaa hapati usingizi kabisa,ama asalimu amri au akaze mpaka mwisho.
 
Back
Top Bottom