JK kaacha kishindo Dar?

JK kaacha kishindo Dar?

Halisi

JF-Expert Member
Joined
Jan 16, 2007
Posts
2,802
Reaction score
617
Kuna taarifa kwamba Rais Kikwete ameacha kishindo ndani ya serikali kabla hajaondoka. Nalala usiku mwema kwa walio na usiku wengine hata sijui nisemeje, ila tukiamka tuttafuaatili, sitopokea simu hadi kesho saa 3 asubuhi
 
Kuna taarifa kwamba Rais Kikwete ameacha kishindo ndani ya serikali kabla hajaondoka. Nalala usiku mwema kwa walio na usiku wengine hata sijui nisemeje, ila tukiamka tuttafuaatili, sitopokea simu hadi kesho saa 3 asubuhi

Una mikwala kuliko ya Gaddafi!
 
Mkuu na mimi habari zinaanza kungia kutoka vyanzo mbalimbali.. tunajaribu kuthibitisha kama ni kweli....
 
Plz mwanakijiji si mzimwage hapa jamvini au hatutakiwi kuzisikia?maana mnatuweka roho juujuu hata tutashindwa kulala!kama mnaweza mtupe basi vidokezo na sisi tuzitafute katika vyanzo vyetu
Mkuu na mimi habari zinaanza kungia kutoka vyanzo mbalimbali.. tunajaribu kuthibitisha kama ni kweli....
 
Whatever kitaeleweka tu. Kashindwa Gaddaffi na kashfa na vitisho vyoooote itakuja kuwa bongo. Give me a break. Anamtisha nani sasa? Aweke mambo sawa CHICHIEMU hahaha. Wajinga ndio waliwao.
 
Kuna taarifa kwamba Rais Kikwete ameacha kishindo ndani ya serikali kabla hajaondoka. Nalala usiku mwema kwa walio na usiku wengine hata sijui nisemeje, ila tukiamka tuttafuaatili, sitopokea simu hadi kesho saa 3 asubuhi

Kishindo kwa maana gani?
kakomba hela zote au?
 
JK hana kishindo chochote; ni mkwara tu.

Wakati wa marehemu Amina (AC), JK alisikika kuwa ataangusha kishindo kwa wauza unga, lakini wapi. Hadi leo hakuna lolote.

Wakati aliponyimwa hela na wafadhili kwa ajili ya rushwa, aliahidi kuwa masifadi sasa wataipata. Akaunda TAKUKURU badala ya TAKURU na sheria mpya za kuwashughulikia; tangu hilo takola mkulu lianze, hatujaona lolote. Mafisadi wanayeya tu

JK hawezi kufanya lolote

JK ni kilaza asiyejua wajibu wa majukumu yake.

JK ni mtafuta sifa na ni mbinafsi sana. Kwake yeye urais wa nchi ni mradi wa ukoo wake wala haangalii maslahi ya nchi.


Hakuna cha kishindo wala cha nini kutoka kwa JK.

Nimesema!!!!!!


@#$@#$$%^&#^%%(*(&Y&*$&^*!!!!
 
Shimboni...?

shafoo Invisible, nimesoma haraka nikijua kuna attachment kumbe ni salamu tu. Kichwa kinaanza kuspin sijui niseme kwa raha au kwa kusubiri kilio. Najipa moyo kwa raha.. Tunasubiri
 
tusubiri tu jamani... na sisi tuna beep vile vile.. ila kwa wale ambao tunafahamu mazingaombwe tunajua wakati mwingine hata kitu kikibadilishwa mbele ya macho yako haina maana ni kweli kimebadilika kwani mazingaombwe ni sanaa ya kudanganya macho.
 
Back
Top Bottom