Crashwise
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 22,227
- 8,735
Baba Mwanaasha, Zitto Kabwa, January Makamba......lao mja tuna jua wanacho kitaka....Sababu za kushusha umri zimeelezwa vizuri sana na kaka yetu January Makamba. Amesema wazee wameshindwa kuleta mabadiliko na wameishia kuleta uchawi tu Ikulu. Hapo labda alikuwa anamlenga Baba Mwanaasha.