Bibie,Uchaguzi wa 2010 umedhihirisha nini? Tusidanganyane hapa. Ukweli ni kuwa Chadema ina safari isiyo na mwisho kabla ya kuchukua urais.
We amini unachoamini na mimi najua ninachokijua.
Bibie,Uchaguzi wa 2010 umedhihirisha nini? Tusidanganyane hapa. Ukweli ni kuwa Chadema ina safari isiyo na mwisho kabla ya kuchukua urais.
Lakini wakiamua kuondoa hilo waondoe pia ulazima wa kuwa na shahada ya kwanza kwa mgombea wa Urais! Kwanini ni lazima mtu awe na shahada kuwa rais? kwani Urais ni kazi ya usomi?
Lakini Mwanakijiji, hilo la shahada si ni la CCM tu au katiba ya jamhuri ndiyo inaelekeza hivyo?
CCM constitution is essentially the one governing the system.
Sababu za kushusha umri zimeelezwa vizuri sana na kaka yetu January Makamba. Amesema wazee wameshindwa kuleta mabadiliko na wameishia kuleta uchawi tu Ikulu. Hapo labda alikuwa anamlenga Baba Mwanaasha.
And that is why we want to change the system.CCM constitution is essentially the one governing the system.
Sasa kama ni kweli - alisema hivyo - na anaamini hivyo kwanini yeye mwenyewe na makamu wake wasijiuzulu sasa ili kutuondolea kutawaliwa na RAis Mzee?
if his intention is to discourage el from aspiring for presidency then he is fully delusional.
Nominee wa CCM ndiye mara zote anayekuja kuwa Rais wa Tanzania.
Wazee wa CCM nao ni raia wa Tanzania wenye haki za kikatiba za Mtanzania, sasahaoni hii kauli ni unconstitutional?
Leo tutasema hatutaki wazee kesho nani? Wachagga?
Sasa kama ni kweli - alisema hivyo - na anaamini hivyo kwanini yeye mwenyewe na makamu wake wasijiuzulu sasa ili kutuondolea kutawaliwa na RAis Mzee?
Usipende kukata au kukatisha watu tamaa, Sata, rais wa sasa wa Zambia alipogombea mara ya kwanza alipata chini ya 5% ya kura zote, mara ya pili about 30%, now mara ya 3 yupo Ikulu, so chochote chaweza kutokea 2015, let's keep our fingers crossed kwamba uchaguzi utakuwa huru na wa hakiUchaguzi wa 2010 umedhihirisha nini? Tusidanganyane hapa. Ukweli ni kuwa Chadema ina safari isiyo na mwisho kabla ya kuchukua urais.