Mwita Maranya
JF-Expert Member
- Jul 1, 2008
- 10,564
- 7,973
wengi wanakimbilia kushambulia tu lakini hawajui ya kuwa mwenye hoja hii(GOdwine) ni mjumbe wa kamati kuu ya Chadema , lakini sijui kwanini amewataja wakuu wote au anataka kufanya mapinduzi ndani ya chama chake cha chadema?
Chadema hatuna viongozi wenye akili ya namna hii. Labda kama umekosea ulikuwa unakusudia kusema ni mjumbe wa kamati kuu ya ccm ama cuf.
Ingawa pia hoja ya kwamba godwine ndiye huyo huyo king11 naanza kuona dalili za kuwa kweli.