JK apata PhD ya International Relations

Ninapingana na kufanikiwa kwa Rais/Tanzania katika sera ya nje na siasa za kimataifa zaidi ya kusafiri. Ukilinganisha na miaka ya nyuma, hivi karibuni sijasikia Tanzania ikitoa msimamo katika matukioa muhimu ya kimataifa zaidi ya kauli-wakati mwingine zinazokinzana-kati ya waziri wa mambo ya nje na Rais (Mfano suala la Zimbabwe). Vile vile sidhani kama sera ya nje ya sasa inampa Rais mwanya wa kusafiri kwa sababu watekelezaji wake wakuu walitegemewa wawe mabalozi aliowateua. Labda kwa sababu diplomasia ya karne 21 imebadilika.

Hivi wenye PhD za uhusiano wa kimataifa Tanzania watakuwa JK na Baregu sasa? Mkuu mwenye kufahamu ninaomba anijuze.[/QUOTE

Mkuu,

Nimesema sisi kuwa na sera mbovu kunampa mwanya wa kuzurura ovyo coz hatuna guiding principle ktk foreign affairs policy.

Pia tukiwa na sera nzuri ambayo iko clear kwenye internatinal arena,basi waziri wa mambo ya nje na Rais(occasionaly) atapunguziwa mzigo wa kuuza sura na au masuala kadhaa yataonyesha msimamo wetu ulivyo.

Pia nadhani Augustine mahiga ,our UN permanent ambassador ana Phd ya International relations.

Kwanza kuna wakulu ambao nawaaminia sana kubeba hili jukumu la kuwa waziri wa mambo ya nje ambao wangeweza kuwa competent kuliko Membe,tuna watu kama akina huyu Mahiga,na pia ambassador Ombeni sefue.huyu mkulu namuaminia sana na angeweza fanya kitu radical ktk policy yetu ya mambo ya nje
 
Tumaini ,ushoga tanzania uko coast ,kwenye watu wa aina yako


Mkuu,

Sasa hapa unatukana watu wengi,kuwa makini mkuu.plz achaneni na matusi..turejee kwenye hoja.JK kapewa PhD huko Turkey.kutoka nje ya mada kunaashiria kuwa kiwango cha taaluma Tanzania kilianza kushuka zamani sana kumbe.Plz let us be carefully,tujadili mada wakuu.Salute!!!
 
Nadhani huyu wa kwetu kapewa hii kwasababu ya kupenda kwake kutalii. Hawa washauri wake kwanini wasimwambie aende Serengeti badala ya kuzurura nje. Nyie ngojeni mtasikia akirudy tu anakwenda kwa Zuma. Kama anatafuta uhusiano mzuri na nchi za nje si aende Faruja au Somalia?
 
Nimemwona Lyatonga na jamaa mwingine mmoja kupitia TBC 1 leo asubuhi.Wawili hawa wamejitambulisha kama mabalozi wa amani(amani forum).Kwakweli wameongea kishabiki kwelikweli,huku wakirusha madongo kwa MNF na wote wanaokomalia hoja za ufisadi.Kwa kusema kuwa wanachochea vurugu zitakazotuvurugia amani na utulivu wetu.Wamemsifia JK kiuwazi kabisa.Poor Mrema!
Kisha wakaenda mbele zaidi na kuipaisha Phd ya JK kuwa uturuki wamekuwa wakifuatilia utendaji wa JK akiwa wizara ya mambo ya nje ktk kuhakikisha usalama na amani kwenye eneo la maziwa makuu,ndio maana akapewa Phd hiyo...Na mengine meeeengi,ambayo for sure they spoilt ma day!
 
PhD bila shule (thesis) ni sawa na compyuta bila operating system.
Before international relations let us think about internal relations!! kamua baba nchi bado mbichi. "amesegnalehu"
 
Back
Top Bottom