JK apata PhD ya International Relations

Ndiyo yale yale ya kumpa Obama Nobel prize wakati anaescalate war! Nadhani wampe shahada hiyo na kumpongeza kwa kupambana na ufisadi, kusimamia matumizi ya serikali vizuri n.k

CHUO Kikuu cha Fatih cha nchini Uturuki kinatarajiwa kumtunuku Rais Jakaya Kikwete, Shahada ya Uzamivu (PhD) ya heshima, imefahamika.
yale yaleeeeeeeee!
 
Hizi PhD za kuokoteza nazo zinatia kinyaa, wenzao wanasugua vichwa miaka zaidi ya miwili ndio wapate hiyo PhD.,wengine wanazigawa tu tena kwa vilaza.
 
congrants mr.president, i would ask them even to give you more than that, even to give you a professor award.BUT THAT HAS NOTHING TO DO WITH OUR NORMAL TANZANIAN LIVES, KNOW THAT WE ARE IN A MESS, TANZANIA IS IN A MESS OF POOR GOVERNANCE,POOR RULE OF LAW AND HUMAN RIGHTS,POOR LIVING STANDARDS OF ITS PEOPLE AND LACK OF EDUCATION!
 
Hongera Raisi Kikwete kwa kutunukiwa degree hiyoo ya heshima..

Natumai chuo na serikali ya Uturuki wametambua mchango wa Dr Kikwete katika kupambana na umaskini nchini na Afrika kwa ujumla (as formerAU Chair).

Muungwaana ana magoli yake anafunga kiulainiii....advocacy ya malaria Leaders nk.
 
Kweli watz tunachekwa sana hizi danganya toto ili tuendelee kuibiwa kweli kile kichwa cha kupewapewa hizi degree kweli kwali lipi ka si wizi tu sha..e on them....agrrrrrrrrrrrrr
 
Hivi credibility ya hicho chuo ikoje? si ni aina ya vile ambavyo mafisadi wa elimu walipatia phd zao kweli?
 
Wakati mnaendelea kumkandia kwa kila neno mwenzenu ahhh wanampa mijituzo tuuu na latest ni hii


safi sana

Btw

Freeman Mbowe tangu afukuzwe kule Hull hivi kuna mpango wowote wa yeye kuendeleza masomo walau St Agostino University ?

Wana CHADEMA itabidi mniwie radhi lakini hili la kuendelea kuficha amendeleo ya masomo ya Freeman Mbowe ni aibu!


freeman_bowe_in_lndon.jpg


btw

Bills mpya kiboko hands down !!!
 
Hakupata Ph.D, ametunukiwa. Hakufanya Ph.D. Ni kama Malecela alivyotunukiwa Ph.D. Hata mtu kama Makamba akipanga na Mkandala na wahusika wengine anaweza kutunukiwa Ph.D na UDSM kwenye mahafali ijayo.

Ni sawa tuwaite Dr. Kikwete, Dr. Malecela nk. Lakini tunajua kichwani hawana hizo digrii kwani hawakuzifanya; wamepewa kwa heshima tu.
 
Hongera sana Dr. Jakaya Mrisho Kikwete kwa hiyo PhD. hakika unastahili.

Wazungu walisafiri kote duniani wakaleta maendeleo Europe. Tunashuhudia maendeleo makubwa hivi sasa ikiwa ni pamoja na ongezeko la waTZ wanaopata nafasi za masomo nje ya nchi.China, UK, United State, India ziko kibao, Belgium na sasa zingine lukuki huko Turkey haya yote ni matunda ya jitahada zako za kuimarisha uhusiano wa nchi yetu kimataifa. Laiti kama Maraisi waliokutangulia wangekuwa na muono kama wako tungekuwa mbali sana naamini hivyo.

Hatuna cha kujifungia nacho hapo TZ kwani kwa miaka 45 tumebaki masikini wa kutupwa dunia haiwezi kutusubili. Watu wamebaki wakimnukuu Nyerere hata kama wanajua na wanaambiwa na dunia mzima kuwa hakuna wazo lake lolote lililowahi kufanikiwa ila ni kuwadumaza watu wake tu kifikra na kimaendeleo. Wengine wanaendelea kusifia eti ukombozi wa bara la Afrika kwani nani angetaka kuitawala afrika au Tz hadi hivi sasa?. Kwa kweli kama hatutatoka nje kutafuta elimu na mitaji tukaendelea kubaki ndani tu eti tunatunza mali zetu hadi mungu atushushie hiyo elimu na uwezo, hakika wenye akili na uwezo na hiyo elimu watakuja kuifungua hiyo mipaka kwa maguvu na kuchukua kila kitu na hatutakuwa na uwezo wa kuwazuia kwani hiyo mipaka hajaweka mungu ni wao ndiyo waliiweka.

Mheshimiwa ukimaliza ziara yako huko Uturuki unaweza kwenda kupumzika kidogo kule Jamaica ukijipongeza kwa hiyo PhD. usihofu sisi ni wazima kabisa huku nyumbani.

Kwa kweli ni wewe tu unayefaa kuiongoza TZ kwa sasa endelea mheshimiwa maana wengine wataturudisha kwa mwalimu JK Nyerere.
 
Hongera sana Dr. Jakaya Mrisho Kikwete kwa hiyo PhD. hakika unastahili.

Wazungu walisafiri kote duniani wakaleta maendeleo Europe. Tunashuhudia maendeleo makubwa hivi sasa ikiwa ni pamoja na ongezeko la waTZ wanaopata nafasi za masomo nje ya nchi.China, UK, United State, India ziko kibao, Belgium na sasa zingine lukuki huko Turkey haya yote ni matunda ya jitahada zako za kuimarisha uhusiano wa nchi yetu kimataifa. Laiti kama Maraisi waliokutangulia wangekuwa na muono kama wako tungekuwa mbali sana naamini hivyo.

Hatuna cha kujifungia nacho hapo TZ kwani kwa miaka 45 tumebaki masikini wa kutupwa dunia haiwezi kutusubili. Watu wamebaki wakimnukuu Nyerere hata kama wanajua na wanaambiwa na dunia mzima kuwa hakuna wazo lake lolote lililowahi kufanikiwa ila ni kuwadumaza watu wake tu kifikra na kimaendeleo. Wengine wanaendelea kusifia eti ukombozi wa bara la Afrika kwani nani angetaka kuitawala afrika au Tz hadi hivi sasa?. Kwa kweli kama hatutatoka nje kutafuta elimu na mitaji tukaendelea kubaki ndani tu eti tunatunza mali zetu hadi mungu atushushie hiyo elimu na uwezo, hakika wenye akili na uwezo na hiyo elimu watakuja kuifungua hiyo mipaka kwa maguvu na kuchukua kila kitu na hatutakuwa na uwezo wa kuwazuia kwani hiyo mipaka hajaweka mungu ni wao ndiyo waliiweka.


Mheshimiwa ukimaliza ziara yako huko Uturuki unaweza kwenda kupumzika kidogo kule Jamaica ukijipongeza kwa hiyo PhD. usihofu sisi ni wazima kabisa huku nyumbani.

Kwa kweli ni wewe tu unayefaa kuiongoza TZ kwa sasa endelea mheshimiwa maana wengine wataturudisha kwa mwalimu JK Nyerere.

wewe kweli cha-MPUNGA...
 
wewe kweli cha-MPUNGA...

So simple, maendeleo yetu hayataletwa na majamaa hao toka hukoooo....ni sisi wenyewe.

Sign of the times is that we do not marginalize ourselves from the rest of the world. We chart our path and forge ahead like others, or indeed, backwards as at the present. Reminds me of an unthinkable concept, TIME moving backwards.

The Champungas of Tanzania remind me of some other Champunga suggesting that Tanzania is synonymous with a huge beach, abundantly endowed with Champungas, lazy in their thinking, cognition and actually, just lazy! Maneno mingi tu ya Kiswahili na Uswahili!
 
kmbe kuzurura ulaya kuna marupurupu ya PHD(Pure Head Damage)?
basi wazungu waanze nao kuzurura kwet tutawapa udoctor phd etc......haya matusi
jk kazurura kenya kapewa udoctor.........kazurura ulaya kapata phd poa hiyo eeee....................
 
Hivi anaweza kutunukiwa na Uprofesa?

nadhani anaweza pewa U-professor next time huko U.A.E (possibly before october); msimdharau rais wetu jamani, kafanya kazi kubwa sana .... kugawa Loliondo II kwa waarabu .... etc. etc. ... na sasa deal za ardhi anazotaka kuwapa wa-turkey siyo kazi ndogo hasa ukizingatia nyumbani "kelele za mlango zimezidi" .... hazimnyimi usingi though! lol!

MDBD
 
Back
Top Bottom